wapendwa baada ya kutoa tangazo langu la ufundi wa magari kuna baadhi ya jamaa zangu niliahid kuwafanyia kaz lkn kwa bahat mbaya nilipata ajali kazin nikaumia mkono navkushonwa nyuz 30 na mpaka sasa nipo nyumbani nauguza kidonda.
So no wory mungu akipenda nitapona na kuanza kuwahudumia.
sisi ni vijana watatu kutoka toyota tz ,tunatengeneza
engine aina zote hasa za V8.Yeyote mwenye kuhitaj huduma yetu tuwasiliane no.0766981308 tunakufuata ulipo DAR
Yeyote anaehitaji huduma ya service na matengenezo ya gari yake kwa bei nafuu tuwasiliane kupitia 0766981308. Huduma hii naitoa haswa kwa wakazi wa Dar, kwa wakazi nje ya Dar tutaelewana.
ok shortly turbo charger hv 2 main parts ie impeller and turbine.so exhaust gases instead of geting out goes to rotate the impeller which connect dirrect to tubine by a shaft.then the rotation of impeller cause the tubine also to rotate.The ratation of tubine suck more air from the cleaner and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.