Recent content by Gerard lupin

  1. G

    SoC04 Tanzania Tuitakayo: Maeneo ya kubadilisha/kuyatilia mkazo

    Mifumo ya kulikabili soko la nje inapaswa kuundwa mara baada ya kuanzisha uzalishaj ili kujizatiti mapema pindi ikitokea soko la ndan halikidhi umalizwaji wa bidhaa zote zizalishwazo
  2. G

    SoC04 Tanzania Tuitakayo: Maeneo ya kubadilisha/kuyatilia mkazo

    Ni kweli kabisa na elimu na ujuzi juu ya matumizi sahihi ya mikopo na muda sahihi wa kuomba mikopo... pia kuhamasisha utoaji wa elimu hasa kwa vijana juu ya masuala ya kujitengenezea mitaji kupitia biashara zao hata zikiwa ndogo ndogo
  3. G

    SoC04 Tanzania Tuitakayo: Maeneo ya kubadilisha/kuyatilia mkazo

    Kipaumbele kiwe nishati mbadala tupendekeze hasa matumizi ya renewable energy sources kwa sababu uwezo na rasilimali za kuwezesha hili tunazo ... tukiweka more emphasis kweny matumizi ya nishati mbadala tutaokoa zaidi mazingira hasa kweny suala zima la misitu na faida zitokanazo na misitu pia...
  4. G

    SoC04 Tanzania Tuitakayo: Maeneo ya kubadilisha/kuyatilia mkazo

    Ahsante sana.. naomba tuendelee kupigia kura mapendekezo haya
  5. G

    SoC04 Tanzania Tuitakayo: Maeneo ya kubadilisha/kuyatilia mkazo

    Tanzania tuitakayo Maeneo ya Kubadilisha /kuyatilia mkazo; Kilimo Endelevu: Uchumi wa Tanzania unategemea sana kilimo, na idadi kubwa ya watu wakiwa wanajishughulisha na kilimo. Hata hivyo, mbinu za kilimo za kawaida mara nyingi hazifai na si endelevu, hivyo kusababisha mazao machache na...
Back
Top Bottom