Mi nadhani hoja ya The Boss ni ya msingi, si kila kitu cha kujibujibu tu. Kwa nyakati zetu hizi ambazo watanzania wanakuwa katika kufikiri na kuchambua mambo ni vizuri kwa CDM kuendelea na kampeni yao ya kueleza matatizo ya nchi hii na kutuaminisha kwa sera na itikadi zao ni kwa kiasi gani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.