Waislam waliliona hilo mapema kumbe ila tuliwadharau na wengine hadi sasa wapo ndani. Wanaonewa ila kumbe nao huwa wanaona mbali sana ila sisi tunawadharau walipotaka necta ivunjwe tulkawaona wajinga sana.
Inabidi kama vipi chadema sasa waungane na waislam wafanye maandamano ya pamoja wao wawe...
SERIKALI NUNUA KIWANJA KIDOGO CHENYE RUTUBA KULIKO KIKUBWA KISICHO NA RUTUBA KWANI GHARAMA HUTOIWEZA.
Wajomba nami leo wacha nimwage cheche zangu kwa hili serikali imekosea ila siilaumu ijipange upya tuu ndo kuangalia nini chanzo.
Ninasikitika sana lakini kwa sababu haina jinsi inabidi...
Wajomba nami leo wacha nimwage cheche zangu kwa hili serikali imekosea ila siilaumu ijipange upya tuu ndo kuangalia nini chanzo.
Ninasikitika sana lakini kwa sababu haina jinsi inabidi nikubali tuu na kisha nicheke japo kidogo. Kwa nini hawa wahusika hawawajibishwi, hadi inafikia tunafika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.