Recent content by GEORGE OLD TOZY

  1. G

    matokeo ya kidato cha 4 kutangazwa rasmi jumatano.

    huyo mpuuz nan anawageuza watanzania kuwa mbulula yaan kila ck ya tukio kukamilishwa inapofika mambo yanabadilika , kama hawataki kuyatoa waache..... au kama vp huyo WAZIR kama anaogopa kuyatangaza bas,.. amtangazie MKEWE........ maana najua ailvyo mbeya tutayapata haraka sana ...
  2. G

    Matokeo mapya kidato cha nne 2012 kutangazwa kesho jumatatu

    Muulize bas huyo ndg wa kuaminika kam na hayo ya fom 6 ynatangazwa.........
  3. G

    Matokeo mapya kidato cha nne 2012 kutangazwa kesho jumatatu

    Unauhakika na hicho chanzo baba au ndo unarefresh ki mtindo .....na yaspotangazwa je .... et ndg wa karib mm nilifiklia may be umemcikia waziri mwenyewe anatangaza......:yell::kev::car: hee nipishe huko mm,,niende zang ....
  4. G

    Matokeo ya fm 6 2013 yapo karibu..

    kutokana na taarifa nilioipata hiv punde inasemekana kwamba matokeo hayo yatatangazwa muda wowte kuanzia sasa...hivyo walengwa munaombwa kuwa na subira na baraza linawaomba radhi kwa presha na figisu. figisu iliowapaten
Back
Top Bottom