Habari zenu wanajamii,
Nina changamoto ambayo ninaomba msaada wenu wa ushauri na ufafanuzi. Mimi siku zaliwa Tanzania, lakini wazazi wangu wote wawili ni Watanzania. Kutokana na hilo, mimi ni raia wa Tanzania kwa kuzaliwa/kurithi na ninamiliki hati halali ya kusafiria ya Tanzania.
Hata hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.