Recent content by Geofrey Banda

  1. G

    dereva nauliza

    Tuliofanya practical ya madereva TRA vipi kuhusu majibu yameshatoka naona kimya mpka leo kuna lolote wadau
  2. G

    Matokeo ya usaili wa oral TRA lini yatatangazwa?

    Mdau nauliza matokeo ya usaili wa oral TRA ni lini watayatangaza
  3. G

    Level ya diploma information and communication technology nauliza maswali ya practical interview yana base wapi

    Wadau kwa aliewahi kufanya usaili wa vitendo kwenye level ya diploma in information and communication technology ni kipengele gani huwa wana deal nacho
  4. G

    Interview za MDA’S & LGA’S

    Wakuu, wale walioitwa kwenye interview za ajira za MDA & LGA kupitia Ajira Portal, mbona wameweka mikoa bila kuweka venue ya kufanyia? Inamaanisha ukifika mkoa husika utafanyia wapi usaili? Kwa anaye fahamu eneo husika, atujulishe.
Back
Top Bottom