Salaam Wana JF,
Naomba nitoe hoja ambayo naamini wengi wetu tumekuwa tukiikumbana nayo kila siku, lakini pengine hatujapata nafasi ya kuizungumza kwa uzito unaostahili.
Kero ya SMS za matangazo kutoka kwa kampuni za simu imezidi kuwa kubwa. Karibu kila siku tunapokea ujumbe wa matangazo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.