CCM si viongozi bali watawala ndo maana wanaiba uchaguzi na Zanzibar kashinda Seif wamekataa matokeo wana akili za kijinga kufikiria wao wanastahili kutawala na sio wengine siku zina kuja na watawala wa mabavu wataondoka
Uchaguzi huu CCM haijashinda isifanye watanzania mafara. UKAWA ndo washindi halali wa urais, tunawapongeza watanzania safari hii hamkutuangusha ila tunasema hakuna amani bila haki
Sio kosa ni sababu CCM wanajua wameiba uchaguzi hesabu za wakusanyaji wengine hazitaendana na kura fake walizojazia juu. Uchaguzi huu CCM haijashinda ngazi ya Urais bali UKAWA. kwa sababu wameanzisha dhuluma wao wataiona dhahama
Wameshindwa hizo data wamepika matokeo ni kama Makoloni ila watanzania walishajua sina uhakika kutakuwa shwari Tanzania kwa miaka hii 5. Nchi iko kinyaa watu wanajua ushindi umeibiwa
Ushindi wa kuiba wala hawana haya. Tunawashukuru watanzania kwa kuupa ushindi upinzani kisha ukaporwa na CCM, kitu kimoja upole usiwatawale maana hakuna amani bila haki. wasiwe CCM wa kwanza kuiba kura kisha kukimbilia kuhubiri amani hiyo ni hadaa. Sasa wamewafungua macho watanzania kujua hawa...
Kwa wizi wa kura? Maana ni moja ya wabunge ambao hawajashinda uchaguzi bali wameiba kura kwa kufanya topping njia hiyo hoyo ndo imempa ushindi Magufuli wakati mshindi halali ni Lowassa. Mungu hawezi bariki wezi na msichezee jina lake jiandae Magufuli kufia ikulu na wote walioba kura Mungu si wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.