Recent content by gefa

  1. G

    Watanzania wanaharakati tulimtukana sana Magufuli na kumdhalilisha sasa Mungu ametupa tunachostahili na tulichotaka

    Wanaozungumzia uharibifu wa mali kama jambo la maana kuliko uhai wa binadamu ni makatili tu kama huyu shetani aliewamaliza watoto wetu kwa makusudi!
  2. G

    PostGE2025 Wakenya: Jeshi la Tanzania mmewaangusha waTZ, mnasema mnalinda raia na mauaji yaliyotokea oktoba 29 mmeyakalia kimya?

    JWTZ ni wanafiki sana mbwa waleeeee! Halafu ni zile za mamazao! Wapishe hivi kama wameshindwa kazi!
  3. G

    Hivi ndivyo safari ya Desemba 9 ilivyoanza!

    Habari zenu ndugu wana jamiiforums ! Naomba niwapitishe kwenye kumbukumbu za matukio yaliyo pelekea DE9 kuwa siku muhimu kwenye ukombozi wa nchi yetu kwa mara nyingine tena katika mwaka huu wa 2025 baada ya ile ya 1961! Kwa ufupi kuanzia mwezi January 2025 ilionekana kuwa mwaka wa kihistoria...
  4. G

    PostGE2025 Gen Z hawapoi: Desemba 9, 2025 kuja na maandamano mapya

    Nikuvaa nguo nyeupe tu siku hiyo! Tunapumzika mwezi mmoja tu we are back like never b4
  5. G

    GE2025 Siwezi kufa kisa watanzania. Ni ujinga wa hali ya juu na tarehe 29 hakuna cha maandamano sababu waitishaji wake hawana utu

    Punguza kujipa umuhimu usiokuwa nao! Halafu punguza mawenge maandamano sio ya chadema ni ya wananchi! 29.10 wewe lala tu kama unavotaka, acha kusumbua watu na nyuzi zako za kichonganishi tunaelewa kazi unayoifanya pumbavu mmoja wewe!
  6. G

    Hivi hamsomi mazingira? No way tutamuona akiwa live tena!

    Haya wewe mbongo wa mitandaoni endelea kuogopa! Kama unaogopa ni wewe siye wengine tushakata shauri 29.10 hakuna kucheka na nyani yeyote! Halafu hizi tabia za kujifanya mnawajua sana watu na kuvunja watu moyo ni UNAFIKI, na ushamba kujifanya unamjua sana mtu wakati kila mtu anatembea na kichwa...
  7. G

    Hivi hamsomi mazingira? No way tutamuona akiwa live tena!

    Ni kweli inafika muda mtu unaona ni afadhali kuumizana kuliko kuheshimiana kwa unafiki! Hasa pale mtu unaemuheshimu anapojipa Uungu wakati ni binadamu kama mimi tu! POLEPOLE alikosoa kwa adabu kuliko mkosoaji yeyote niliewahi kumsikia hapa nchini, ila bado wamemtenda kwa ukutili mkubwa nanmna...
  8. G

    Dark days 17/03/20

    Unasemaga hivi halafu unakimbia ! Unabaki unachunguliachungulia kutupima kama tunakufuatilia ama lah! Wewe tu ukiona ni muhimu kufanya lolote endelea tutakutana nalo. Ukiamua kusubiri hadi 2030 pia ni sawa!
  9. G

    GE2025 Butiku usipokemea anayopitia Polepole, Umeshiriki kuivunja Tanzania

    Yaani huyu butiku ni yuda iskarioti! Na hii imekuja baada ya tesha kutoka ,wamehisi nchi inapinduliwa! Uoga tu!
  10. G

    Kikosi cha genge kipo Oysterbey polisi kama mnabisha naleta taarifa zao hapa

    Watu wanatekwa wanakufa wewe unatishiatishia kuleta ushahidi, bora kuyamwaga watu wajue waamue cha kufanya! Kama hamna taarifa ni bora kukaa kimya kuliko kujionesha unajua mengi lakini hayana msaada kwa watu!
  11. G

    Dark days 17/03/20

    Nani alikudanganya kwamba hakutakua na makundi nchini? Cha msingi hao wa mtandao hatuwataki hata kama pro magu nao wanataka maslahi yao bora tuyaondoe haya mashetani ya kina kikwete maana yamezidi ukatili na ubinafsi! Kama hujachagua upande mpaka sasa tulia tuu maana moto ushawaka hakuna...
  12. G

    GE2025 Hivi haya maandamano ya tarehe 29 ni ya CHADEMA au mbona sielewi?

    Umesikia captain Tesha kasemaje leo we ndugu mwenye ubinafsi? Unadhani hata tukiandamana kwa ajili ya Lissu sio kuipigania Tanzania? Kwani Lissu kakamatwa kwa mashitaka ya kweli? Acha ubinafsi 29.10 ni mwanzo wa Tanzania mpya kwa wote!
  13. G

    GE2025 Hivi haya maandamano ya tarehe 29 ni ya CHADEMA au mbona sielewi?

    Tusichoshane bwana, kama inakuuma watu kumtaja Lissu usiandamane! Me hata akitajwa shetani nitaandamana bora shetani kuliko samia na ccm mtandao!
  14. G

    GE2025 Hivi haya maandamano ya tarehe 29 ni ya CHADEMA au mbona sielewi?

    Mimi sio chadema kwa taarifa yako! Ni ccm kabisa! Kama hadi leo hujui watu wanapanga maandamano ni kina nani? Pole sana wewe ambae sio nyumbu! 29.10 Tanzania mpya!
  15. G

    GE2025 Hivi haya maandamano ya tarehe 29 ni ya CHADEMA au mbona sielewi?

    uko sahihi,kama hajui nini kinaendelea alale tu atasimuliwa matokeo
Back
Top Bottom