Recent content by gefa

  1. G

    The Voices From Within:Kilichotokea Oct. 29 Japo Anayeonekana ni Yeye Kumbe Si Yeye Kuna Watu Hawakutimiza Wajibu Wao Ndio Wamemponza, Tumsamehe Tuu?

    Leo ndio umesema ukweli kuwa tuna raisi mjinga asiejua kitu! Sasa anang'ang'ana nini kuongoza kama uwezo wake ni mdogo kuona yafaayo na yasioyofaa halafu unakuja kumtetea eti alipotezwa na wajuaji! Kaa pembeni na uchawa wako wee mzee, unajificha kwenye vifasihi vya voice within sijui nini...
  2. G

    Mbunge Simai: Serikalini kuna Yuda, huko nyuma amewahi kutajwa ni mzigo, amewaumiza watu wengi

    Mnara wa babeli! Walidhani wametukomoa sisi ,kumbe kila mmoja anawaza lake! Na ndio kwanza safari yao iko mwezi wa 8 tangu wainze! Wameanza kuitana majina mabaya😁😁😁😁👍👍, Sema Imma nae mroho wa madaraka sana ndio maana alisimamia ule uhuni wa January 2025 bila haya!
  3. G

    Eti kwakuwa Chadema waliamua wao kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 wanalazimisha kila kitu kuwa ni haramu kwao

    Bwana wewe pita kule! Hakuna aliesema suala la muda! Nimekwambia kasome sheria inayosimamia maadili ya uchaguzi, unapenda kubishana bila kuelewa unabisha nini!
  4. G

    Eti kwakuwa Chadema waliamua wao kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 wanalazimisha kila kitu kuwa ni haramu kwao

    Kasome sheria inayosimamia maadili ya uchaguzi! Kichwa kisichotumika kuelewa mambo ni pambo au mzigo kwa shingo!
  5. G

    Eti kwakuwa Chadema waliamua wao kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 wanalazimisha kila kitu kuwa ni haramu kwao

    Huna unalolijua acha kukurupuka ! Kuna sheria, kanuni na taratibu zinazotumika kama miongozo na sio utashi/ matakwa ya kailima na ma ccm mafisadi! Kama hujui jambo acha kujitia ujuaji! Kasome sheria ya kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi inasemaje kwanza.
  6. G

    Eti kwakuwa Chadema waliamua wao kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 wanalazimisha kila kitu kuwa ni haramu kwao

    Ni wazembe sana hawa watu, wanakurupuka na kulipuka bila kujiuliza kama maroboti!
  7. G

    Eti kwakuwa Chadema waliamua wao kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 wanalazimisha kila kitu kuwa ni haramu kwao

    Ifike muda watu muwe na aibu kama vichwa vyenu havina kumbukumbu ni bora kukaa kimya! Alie wazuia chadema kushiriki uchaguzi ni Ramadhani Kailima pale alipokiuka utaratibu wa utiaji wa saini kwaaajili ya maadili ya uchaguzi, hii ilikua ni mwezi 4 mwaka jana yeye akilazimisha vyama vyote...
  8. G

    Watanzania wanaharakati tulimtukana sana Magufuli na kumdhalilisha sasa Mungu ametupa tunachostahili na tulichotaka

    Wanaozungumzia uharibifu wa mali kama jambo la maana kuliko uhai wa binadamu ni makatili tu kama huyu shetani aliewamaliza watoto wetu kwa makusudi!
  9. G

    PostGE2025 Wakenya: Jeshi la Tanzania mmewaangusha waTZ, mnasema mnalinda raia na mauaji yaliyotokea oktoba 29 mmeyakalia kimya?

    JWTZ ni wanafiki sana mbwa waleeeee! Halafu ni zile za mamazao! Wapishe hivi kama wameshindwa kazi!
  10. G

    Hivi ndivyo safari ya Desemba 9 ilivyoanza!

    Habari zenu ndugu wana jamiiforums ! Naomba niwapitishe kwenye kumbukumbu za matukio yaliyo pelekea DE9 kuwa siku muhimu kwenye ukombozi wa nchi yetu kwa mara nyingine tena katika mwaka huu wa 2025 baada ya ile ya 1961! Kwa ufupi kuanzia mwezi January 2025 ilionekana kuwa mwaka wa kihistoria...
  11. G

    PostGE2025 Gen Z hawapoi: Desemba 9, 2025 kuja na maandamano mapya

    Nikuvaa nguo nyeupe tu siku hiyo! Tunapumzika mwezi mmoja tu we are back like never b4
  12. G

    GE2025 Siwezi kufa kisa watanzania. Ni ujinga wa hali ya juu na tarehe 29 hakuna cha maandamano sababu waitishaji wake hawana utu

    Punguza kujipa umuhimu usiokuwa nao! Halafu punguza mawenge maandamano sio ya chadema ni ya wananchi! 29.10 wewe lala tu kama unavotaka, acha kusumbua watu na nyuzi zako za kichonganishi tunaelewa kazi unayoifanya pumbavu mmoja wewe!
  13. G

    Hivi hamsomi mazingira? No way tutamuona akiwa live tena!

    Haya wewe mbongo wa mitandaoni endelea kuogopa! Kama unaogopa ni wewe siye wengine tushakata shauri 29.10 hakuna kucheka na nyani yeyote! Halafu hizi tabia za kujifanya mnawajua sana watu na kuvunja watu moyo ni UNAFIKI, na ushamba kujifanya unamjua sana mtu wakati kila mtu anatembea na kichwa...
  14. G

    Hivi hamsomi mazingira? No way tutamuona akiwa live tena!

    Ni kweli inafika muda mtu unaona ni afadhali kuumizana kuliko kuheshimiana kwa unafiki! Hasa pale mtu unaemuheshimu anapojipa Uungu wakati ni binadamu kama mimi tu! POLEPOLE alikosoa kwa adabu kuliko mkosoaji yeyote niliewahi kumsikia hapa nchini, ila bado wamemtenda kwa ukutili mkubwa nanmna...
Back
Top Bottom