Leo ndio umesema ukweli kuwa tuna raisi mjinga asiejua kitu! Sasa anang'ang'ana nini kuongoza kama uwezo wake ni mdogo kuona yafaayo na yasioyofaa halafu unakuja kumtetea eti alipotezwa na wajuaji!
Kaa pembeni na uchawa wako wee mzee, unajificha kwenye vifasihi vya voice within sijui nini...
Mnara wa babeli!
Walidhani wametukomoa sisi ,kumbe kila mmoja anawaza lake!
Na ndio kwanza safari yao iko mwezi wa 8 tangu wainze! Wameanza kuitana majina mabaya😁😁😁😁👍👍,
Sema Imma nae mroho wa madaraka sana ndio maana alisimamia ule uhuni wa January 2025 bila haya!
Huna unalolijua acha kukurupuka ! Kuna sheria, kanuni na taratibu zinazotumika kama miongozo na sio utashi/ matakwa ya kailima na ma ccm mafisadi! Kama hujui jambo acha kujitia ujuaji! Kasome sheria ya kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi inasemaje kwanza.
Ifike muda watu muwe na aibu kama vichwa vyenu havina kumbukumbu ni bora kukaa kimya! Alie wazuia chadema kushiriki uchaguzi ni Ramadhani Kailima pale alipokiuka utaratibu wa utiaji wa saini kwaaajili ya maadili ya uchaguzi, hii ilikua ni mwezi 4 mwaka jana yeye akilazimisha vyama vyote...
Habari zenu ndugu wana jamiiforums !
Naomba niwapitishe kwenye kumbukumbu za matukio yaliyo pelekea DE9 kuwa siku muhimu kwenye ukombozi wa nchi yetu kwa mara nyingine tena katika mwaka huu wa 2025 baada ya ile ya 1961!
Kwa ufupi kuanzia mwezi January 2025 ilionekana kuwa mwaka wa kihistoria...
Punguza kujipa umuhimu usiokuwa nao! Halafu punguza mawenge maandamano sio ya chadema ni ya wananchi! 29.10 wewe lala tu kama unavotaka, acha kusumbua watu na nyuzi zako za kichonganishi tunaelewa kazi unayoifanya pumbavu mmoja wewe!
Haya wewe mbongo wa mitandaoni endelea kuogopa! Kama unaogopa ni wewe siye wengine tushakata shauri 29.10 hakuna kucheka na nyani yeyote! Halafu hizi tabia za kujifanya mnawajua sana watu na kuvunja watu moyo ni UNAFIKI, na ushamba kujifanya unamjua sana mtu wakati kila mtu anatembea na kichwa...
Ni kweli inafika muda mtu unaona ni afadhali kuumizana kuliko kuheshimiana kwa unafiki! Hasa pale mtu unaemuheshimu anapojipa Uungu wakati ni binadamu kama mimi tu! POLEPOLE alikosoa kwa adabu kuliko mkosoaji yeyote niliewahi kumsikia hapa nchini, ila bado wamemtenda kwa ukutili mkubwa nanmna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.