Habari zenu ndugu wana jamiiforums !
Naomba niwapitishe kwenye kumbukumbu za matukio yaliyo pelekea DE9 kuwa siku muhimu kwenye ukombozi wa nchi yetu kwa mara nyingine tena katika mwaka huu wa 2025 baada ya ile ya 1961!
Kwa ufupi kuanzia mwezi January 2025 ilionekana kuwa mwaka wa kihistoria...
Punguza kujipa umuhimu usiokuwa nao! Halafu punguza mawenge maandamano sio ya chadema ni ya wananchi! 29.10 wewe lala tu kama unavotaka, acha kusumbua watu na nyuzi zako za kichonganishi tunaelewa kazi unayoifanya pumbavu mmoja wewe!
Haya wewe mbongo wa mitandaoni endelea kuogopa! Kama unaogopa ni wewe siye wengine tushakata shauri 29.10 hakuna kucheka na nyani yeyote! Halafu hizi tabia za kujifanya mnawajua sana watu na kuvunja watu moyo ni UNAFIKI, na ushamba kujifanya unamjua sana mtu wakati kila mtu anatembea na kichwa...
Ni kweli inafika muda mtu unaona ni afadhali kuumizana kuliko kuheshimiana kwa unafiki! Hasa pale mtu unaemuheshimu anapojipa Uungu wakati ni binadamu kama mimi tu! POLEPOLE alikosoa kwa adabu kuliko mkosoaji yeyote niliewahi kumsikia hapa nchini, ila bado wamemtenda kwa ukutili mkubwa nanmna...
Unasemaga hivi halafu unakimbia ! Unabaki unachunguliachungulia kutupima kama tunakufuatilia ama lah! Wewe tu ukiona ni muhimu kufanya lolote endelea tutakutana nalo. Ukiamua kusubiri hadi 2030 pia ni sawa!
Watu wanatekwa wanakufa wewe unatishiatishia kuleta ushahidi, bora kuyamwaga watu wajue waamue cha kufanya! Kama hamna taarifa ni bora kukaa kimya kuliko kujionesha unajua mengi lakini hayana msaada kwa watu!
Nani alikudanganya kwamba hakutakua na makundi nchini? Cha msingi hao wa mtandao hatuwataki hata kama pro magu nao wanataka maslahi yao bora tuyaondoe haya mashetani ya kina kikwete maana yamezidi ukatili na ubinafsi! Kama hujachagua upande mpaka sasa tulia tuu maana moto ushawaka hakuna...
Umesikia captain Tesha kasemaje leo we ndugu mwenye ubinafsi? Unadhani hata tukiandamana kwa ajili ya Lissu sio kuipigania Tanzania? Kwani Lissu kakamatwa kwa mashitaka ya kweli? Acha ubinafsi 29.10 ni mwanzo wa Tanzania mpya kwa wote!
Mimi sio chadema kwa taarifa yako! Ni ccm kabisa! Kama hadi leo hujui watu wanapanga maandamano ni kina nani? Pole sana wewe ambae sio nyumbu! 29.10 Tanzania mpya!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.