Recent content by gefa

  1. G

    JamiiForums Tanzania Wajinga Ndiyo Waliwao. CHADEMA Wanakamuliwa na Kuchangishwa Michango Halafu Viongozi Wao Wanafanyia Starehe Na Kujineemesha. Amkeni CHADEMA Usingizini

    Wewe unasumbuliwa na wadudu! Wadudu wadogo wadogo! Wananyevuanyevua!😂
  2. G

    JamiiForums Tanzania Unadhani ni kwanini hila za Chadema dhidi ya Amani na Umoja wa waTanzania hushindwa kila wanapojaribu kuchochea chuki, ghasia, maafa, na migawanyiko?

    HALAFU NA WEWE UNAMAKELELE KAMA SPIKA MBOVU! NANI HAELEWI KUWA HAYA MAANDAMANO YAMEUNDWA KAMA MAIGIZO! WE KICHWANI MWAKO UNAWAWAZA CHADEMA TUU! MBWA MWITU WA MWAIPOPO NA CHUI WEUSI HUWAJUI? TUMIA AKILI K-MANYOKO!
  3. G

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Ujasiri wa karne Sabasaba. Sisi ni Washindi. Aluta Continua!

    Hakuna aliekuja kumsikiliza mtu hapa duniani! We fata yako acha kujipa umuhimu kwenye mawazo na maisha ya watu! Ukishakua mtu mzima unajua unachokitaka bila hata kushawishiwa ama kulazimishwa! Save your life first!
  4. G

    JamiiForums Tanzania Mbinu ya kisasa ya kupumbaza umma kisiasa—sura ya nje dhidi ya ukweli halisi nchini Tanzania

    Umempasua vibaya sana😁👍😁👍🔥📢🤝hapo hata akishonwa nyuzi anakua sura kama chujio ! Mjinga mmoja yule!
  5. G

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi apiga marufuku mikutano ya siasa kwa vyama vyote

    Wameshindwa kuvumilia, moto ushakolea!
  6. G

    JamiiForums Tanzania Mlowo: Moto wa Katiba Mpya na Free Lissu walipuka

    Unaumia bure hakuna anaekujua😁😁😁😁 kuwa bize na mambo yako, punguza kuwazia maamuzi ya maisha ya watu! Ukijidanganya kuwa wewe ndio unawaza vizuri kuliko hao wananchi wa mlowo! Na kama umetumia neno "wajinga " kwa kudharau basi wenyewe wanakuona mjinga wa mwisho kabisa!😁😁😁😁 KILA MTU NA LWAKE...
  7. G

    JamiiForums Tanzania Rwanda na Uganda zaongoza EAC kasi ya Ukuaji Uchumi, Kenya Nchi Pekee Uchumi wa Kati, EAC, Tanzania yarejeshwa Kundi la Nchi Masikini!. WHY?!

    Usijali tunamwamini YEYE! au unasemaje mzee wa vwoisi from wizini!😁😁😁
  8. G

    JamiiForums Tanzania The Voices From Within:Kilichotokea Oct. 29 Japo Anayeonekana ni Yeye Kumbe Si Yeye Kuna Watu Hawakutimiza Wajibu Wao Ndio Wamemponza, Tumsamehe Tuu?

    Leo ndio umesema ukweli kuwa tuna raisi mjinga asiejua kitu! Sasa anang'ang'ana nini kuongoza kama uwezo wake ni mdogo kuona yafaayo na yasioyofaa halafu unakuja kumtetea eti alipotezwa na wajuaji! Kaa pembeni na uchawa wako wee mzee, unajificha kwenye vifasihi vya voice within sijui nini...
  9. G

    JamiiForums Tanzania Mbunge Simai: Serikalini kuna Yuda, huko nyuma amewahi kutajwa ni mzigo, amewaumiza watu wengi

    Mnara wa babeli! Walidhani wametukomoa sisi ,kumbe kila mmoja anawaza lake! Na ndio kwanza safari yao iko mwezi wa 8 tangu wainze! Wameanza kuitana majina mabaya😁😁😁😁👍👍, Sema Imma nae mroho wa madaraka sana ndio maana alisimamia ule uhuni wa January 2025 bila haya!
  10. G

    JamiiForums Tanzania Eti kwakuwa Chadema waliamua wao kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 wanalazimisha kila kitu kuwa ni haramu kwao

    Bwana wewe pita kule! Hakuna aliesema suala la muda! Nimekwambia kasome sheria inayosimamia maadili ya uchaguzi, unapenda kubishana bila kuelewa unabisha nini!
  11. G

    JamiiForums Tanzania Eti kwakuwa Chadema waliamua wao kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 wanalazimisha kila kitu kuwa ni haramu kwao

    Kasome sheria inayosimamia maadili ya uchaguzi! Kichwa kisichotumika kuelewa mambo ni pambo au mzigo kwa shingo!
  12. G

    JamiiForums Tanzania Eti kwakuwa Chadema waliamua wao kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 wanalazimisha kila kitu kuwa ni haramu kwao

    Huna unalolijua acha kukurupuka ! Kuna sheria, kanuni na taratibu zinazotumika kama miongozo na sio utashi/ matakwa ya kailima na ma ccm mafisadi! Kama hujui jambo acha kujitia ujuaji! Kasome sheria ya kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi inasemaje kwanza.
  13. G

    JamiiForums Tanzania Eti kwakuwa Chadema waliamua wao kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 wanalazimisha kila kitu kuwa ni haramu kwao

    Ni wazembe sana hawa watu, wanakurupuka na kulipuka bila kujiuliza kama maroboti!
  14. G

    JamiiForums Tanzania Eti kwakuwa Chadema waliamua wao kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 wanalazimisha kila kitu kuwa ni haramu kwao

    Ifike muda watu muwe na aibu kama vichwa vyenu havina kumbukumbu ni bora kukaa kimya! Alie wazuia chadema kushiriki uchaguzi ni Ramadhani Kailima pale alipokiuka utaratibu wa utiaji wa saini kwaaajili ya maadili ya uchaguzi, hii ilikua ni mwezi 4 mwaka jana yeye akilazimisha vyama vyote...
Back
Top Bottom