Hii issue imekaa kitapeli mtu unaingia gharama kuandaa mzigo unawafikidhia kwenye ghala lao wanaanza kukupa stori
Sent from my LG-D690 using JamiiForums mobile app
Salaam chief, nimeleta mzigo wa matairi makubwa ya malori lakini watu wa mapokezi wametuambia hawachukui tena matairi makubwa au tukitaka tuwauzie kwa bei pungufu kuliko uliotutajia
Sent from my LG-D690 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.