Recent content by gbm13

  1. G

    Nina wazo la kutengeneza biashara/Ajira

    Hi mimi hiyo sehemu nahitaji kufanya anything sababu imekaa bure tu na nimiaka sijafika nipo nje ya nchi , so sina idea what is going on there so why nilivyoona Makwale nikafurahi sana. i can still do business with the person and i will try to contact the person in due course .Asante kwa muda wako.
  2. G

    Nina wazo la kutengeneza biashara/Ajira

    Mbali na nursery je Ni biashara gani nyingine? Mimi Nina mji makwale kama kusingekuwa na nursery ungenisupport usimamizi Nina uwezo wa kijenga ila niko mbali.
  3. G

    Anayejua jinsi ya kujiunga na Pay Pal

    Faida take Ni unalipia kwa email bila details zako za fedha kujulikana na fee inalipwa ya PayPal inalipwa na muuza bidhaa.
Back
Top Bottom