Recent content by gawaza

  1. G

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wanasheria nendeni mahakamani haraka kuzuia Rais kuchangisha pesa za kampeni ya CCM

    Hya mambo yanahatari kubwa, nenda Kaangalie magufuli alipokuwa anaongea na wafanyabiashara baada ya kuwa rais na Nini aliwaambia!
  2. G

    JamiiForums Tanzania Je, Nelson Mandela ni kweli alikua shujaa wa afrika au historia yake kuna namna imechezeshwa?

    Wazungu ndo mamaster wa kubrand mtu,ukiwa upande wao utaonekana wa maana sana ila ukikengeuka tu wanakuchafua na kukupiga. Kwa hyo Mandela alinyanyuliwa na wazungu kwa kulinda uchumi wa kizungu usiharibiwe ndo mana unaimbwa hvyo. Kwetu sisi watanganyika baba yetu aliekuwa mzalendo wa kiafrika...
  3. G

    JamiiForums Tanzania Polepole ashtakiwe kwa kutoa siri za serikali kinyume na sheria ya usalama wa taifa

    Tuambie hzo Siri nasi tuzijue
  4. G

    JamiiForums Tanzania Samia akishinda Urais mwaka huu, Polepole, Gwajima na Mpina wataishije maisha yao hapa Tanzania?

    Wataishije kivip? Mbona bado ni rais na wanaishi,wataishi hiv hiv
  5. G

    JamiiForums Tanzania Kama asingetoa TZS20bn za elimu bure watoto wetu zaidi ya 1,317,018,43 wangegeuka machokoraa

    Nani anashindwa kumsomesha mwanae bwana? Labda wa kwako angekuwa chokoraa
  6. G

    JamiiForums Tanzania GE2025 Msemaji wa Polisi David Misime: Hatutawavumilia waliojipanga kuvuruga amani wakati wa uchaguzi mkuu 2025

    Watakuwa wao wenyewe,wizi utatokea wapi?
  7. G

    JamiiForums Tanzania John Heche: Mwalimu anayestahili kuwa nje ya Ualimu

    Mbona umeandika chuki zisizoeleweka? We unaelimu Gani mdau?
  8. G

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu akinukisha Mahakamani, Mvutano mkali na Askari Magereza waibuka, adai kuzuiwa kuongea na Mawakili

    Hyo kesi nyingine,lisu anapigia miguu yote shoto na lia.
  9. G

    JamiiForums Tanzania Ni nani nje ya CHADEMA alimfahamu Mzee Ally Kibao kabla ya mkasa uliotokea?

    Sawa! Polisi wapo wapi kuwakamata hao wauaji wa ndani ya chama? Je wanauhalali wa kufanya hivyo?
  10. G

    JamiiForums Tanzania Wananchi wanawapa hela upinzani huku CCM inawapa hela wananchi wawachague inatupa picha gani ?

    Nimecheka sana! Mix by yas hyo
  11. G

    JamiiForums Tanzania Ajenda ya No Reforms No Election inawapiginisha Chadema katika mikutano ya hadhara

    Falcao kumbe na wewe.
  12. G

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 John Heche achochea vurugu kwenye mikutano, wananchi wapokea kichapo na kuumizwa

    Kumbe we ni Irene,unahaki ya kuongea upuuzi huu. We ni dhaifu tangu kuumbwa.
  13. G

    JamiiForums Tanzania Alex Msama: Wanaomsema Rais Samia wanamsema Mungu, wanaoshutumu wanamshutumu Mungu

    Aache kumfananisha mungu na watu aliowaumba. Aache dhihaka Kwa Mungu.
  14. G

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Kinachoendelea mitandaoni kuhusu "No Reforms, No Election" ni UPUUZI

    Wanaposema kumaliza kipato Kwa kutumika bando ,mbona uwa wanapost mitandaoni Ili nani aone? No reform no election
Back
Top Bottom