🤣🤣 Mkuki kwa nguruwe sio, jamaa alidhulumu watu ndio maana wakaamua kumshughulikia sema kwakuwa mshkaji mwanasiasa ameamua kuisingizia serikali kwaiyo kile kilema amejitakia
😂😂😂 poleni sana yani uchaguzi huu magufuli atagalagaza yule kilema kwa kura nyingi sana tena za kishindo alafu mumtafutie kazi ya kufanya baada ya uchaguzi asije kua ombaomba
Pole sana kwanza tambua yule ni raisi wa nchi kwaiyo popote pale aendapo lazima apewe heshima yake, kuhusu kura naomba usihangaike mpigie kura magufuli ili tanzania azidi kupata maendeleo tunaomba kura yako tafadhali
Tayari bundi ametua huko upinzani, vipi kujusu Membe yeye si alichukua fomu ya kugombea uraisi kupitia ACT wazalendo sasa huyu watakae muunga mkono tofauti na membe ni nani, kwaiyo uwekezaji wa membe kwa ACT ni bure kabisa au ndio wameamua kumchinjia baharini
Hahahah wala silii na sito lia maana mimi ni kijana mchapakazi na nafanya shughuli zangu kihalali ndio maana nasema tumuunge mkono raisi wetu mpendwa apate mitano mingine ili tupate maendeleo zaidi ya haya tunayo yaona, naomba kura yako mpe magufuli yeye anatufaa achana na hao wajanja janja...
Hakuna mwenye akili timamu atakae mpigia kura lissu wengi wanaopinga ni kwaajili ya kutaka umaarufu maana hawajui nia yake ila jamaa anaokana wazi ana nia mbaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.