Ni ukweli uliowazi kwamba jina Reginald Mengi sio jina geni Hapa, kila mmoja alimjua au kumfahamu kwa namna yake, hata kama hukuwahi kuwa karibu naye, kama mimi ninayeandika haya, lakini haikudhuia kumfahamu kama sio kwenye Utajiri wake, bhasi shughuli zake na haswa akiwa Nguli katika Tasinia ya...
Ni swali adimu leo hii kuliskia viongozi wakiulizwa leo hii, pamoja na ukweli kwamba vijana wamefikia 70% ya Watu wote nchini. Isitoshe pale unaposkia vijana wakitajwa au kuzungumziwa mara nyingi unaskia wajibu wao tu kama vijana.
Na katika Mkwamo mkuu wa Ajira vijana bado vijana atarudishiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.