Hata mimi nina MGOGORO NAO HAWA MACCM, kupitia wao madaktati waligoma na nikampoteza mzazi wangu mpendwa pale KCMC hospital. Kwa kweli sitakaa nikaweka maridhiano na serikali ya CCM kwa garama yoyote mgogoro nilionao na hawa watu naweza sema ni mkubwa sana kuliko hata ule wa marekani na alkaida...
Hata mimi nina MGOGORO NAO HAWA MACCM, kupitia wao madaktati waligoma na nikampoteza mzazi wangu mpendwa pale KCMC hospital. Kwa kweli sitakaa nikaweka maridhiano na serikali ya CCM kwa garama yoyote mgogoro nilionao na hawa watu naweza sema ni mkubwa sana kuliko hata ule wa marekani na alkaida...
Leo ni takribani miezi mitatu (3) tangu DC wetu ndugu Lembris Kipuyo alipoanza kazi kama mkuu mpya wa wilaya hii ya Rombo.
Ni ukweli uliowazi kuwa dalili zote zimeonyesha kuwa kiongozi huyu mchapakazi ameweza kwa kipindi kifupi kurudisha matumaini ya chama chetu cha CCM hapa jimboni kwetu baada...
Vijana wanatumia fursa zinazojitokeza na hiyo 20,000 mliyowapa ni chenchi kidogo miliyopora kwa magunia na salfeti.... Ref. Escrow and EPA scandals....Hivyo vijana wa hapa mpakani wanachangamkia chohote almuradi mkono iende kinywan i...
Nyie nendeni zenu mtuachie Rombo yetu...
Najiapiza 2015...
Mtawadanganya wale ambao hawakuwa hapo Tarakea Rombo, tiliokuwepo tulichoshuhudia ni wakimbizi wa kikamba waliosombwa kwa Noah kutoka kijiji cha Holili na basi maarufu LA jamaa wa pale Mashati.....
Tuliokuwepo katika mkutano tunajua maigizo yote .....vijana wamehongwa 20,000@ ili wavae...
CCM aka Magamba lazima mwaka huu muiname ili dawa iingie ndani na homa mliyonayo itoke....
Hakuna namna na tumechoka sasa lazima magamba tuwapige chini na lazima mvimbe juu.
Huku kwetu Mtwara tunawapa big up sana wapiganaji wenzetu Wa Huko Moshi, Rombo na Arusha huh mwendo Ni Wa kupiga na kuchakaza masalia ya magamba wote yaani naichukia CCM kama ninavyomchukia shetani au Nguruwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.