Yap nimejikuta nashindwa kujizuia kucheka kwa the way ulivyomalizia statement yako 'atakuwa softy km mama samia suluhu!'..so nikawa nafanya association kati ya umri wa mama Suluhu, ngozi yake na ngozi ya mtoto nikaishia kucheka maana hii kwa waswahili tunaita mubalagha!
Mimi ni ME (baba wa mtoto tajwa hapo juu) though baadhi ya wadau wame-comment kwang km KE ila nili-ignore jinsi/jinsia nika-focus kwny point tu..hivyo kwa kuwa umeuliza nimeamua niiweke sawa ili lisilete utata tena
Habari wana-JF samahani napenda kuuliza nina mtoto mchanga mwenye umri wa wiki moja amepatwa na vipele vyenye ukubwa wa kadri lakini vinaonekana kuwa na vijiusaa kwa ndani je ni kawaida au ni shida?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.