unatakiwa uende ktk kiyuo cha mafuta au garage au hotel au kituo cha kupumzika utaona alama ya kitanga ktk ramani yako ndo uenede hapo utaona sehemu ya paking ukifka uitakwambia press E then Enter ndo unalala. NOTE. kama upo mjini utatakiwa uenede ktk garage or hotel bt nje ya mji ndo vituo vya...
kama unatumia uero tuck kuanzia version ya 1.17 na kuendelea kuna option ya kutoa speed limiter mkuu bt kama chini ya hapo kuna mod unatakiwa udownload kutoa speed limiter. hii picha ni kwa version 1.17 na kuendelea
kutengeneza map ya bongo inawezekana bt itakuwa haina uhalisia sana co vitu kama majengo lazima utumie yaleyale yaliyopo ktk game na majina ya miji pia inachukua muda kidogo kuyabadilisha
check hii attachment nimeweka mods na hayo makampuni ya kibogo bt ya mabasi ina MBs nyingi kidogo ntaiweka soon. NOTE. mods hizi zinafanya kazi ktk version ya 1.7 na kuendelea so make sure game yako ina hiyo version or zaidi
pole mkuu,gari likipata ajali or likiharibika unatakiwa ulipeleke garage kulitengeneza na unafollow steps zifuatazo, 1.press F7 2. press Ok or Enter then utaona gari lipo garage then utachagua kuna option ya kutengeneza na kupaka rangi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.