nakuelewa sana mkuu sasa natafuta ushauri juu ya iyo koz kwasababu kwangu ni ngen sana plz kama unaijua nidaidie yan mm cjui ata nitaajiriwa wapi tusikatishane tamaa nauliza tuu wakubwa
dah..kwakweli mimi aya ndio machaguo yangu vinginevyo ctaweza kwasababu nategemea chuo cha serikali kutokana na unafuu wa ada ukizingatia hali ya uwezo wa familia ntokayo...labda kama kunamtu anaye ifaham vizur iyo koz ya irrigation and water resources engeneering ya Sua kama ni marketable
kwakweli mimi mwenyewe ni muhanga katika hilo nimechaguliwa chuo ambacho sikutegemea...sasa ivi nafuta ushauri kama inawezekana kuhama chuo na course...nlisoma pcm nkapata B-PHY C-MATHS AND B*(PLUS)-CHEM Ambayo ni divition two point tisa nlipangwa sua bachelor of science in water management and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.