Siamini kama ni mwongozo umetolewa labda niwe sijui maana ya neno hilo. Naamini lengo la Kanisa lilikuwa ni kuwahimiza waamini wake kushiriki katika utoaji wa maoni. Na mwisho wa siku anayetoa maoni ni raia wa Tanzania lakini lililo la muhimu aende kutoa maoni akiwa anajua ni nini anachotakiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.