Recent content by G.Sardinha

  1. G

    CHADEMA njaa kali, kuanzia leo siwaamini tena, wapo kimaslahi zaidi

    Naunga mkono hoja ...endapo Lowassa atapeperusha bendera ya Chadema na baadae UKAWA nitaichachana kadi yangu ya uanachama wa Chadema na Kutafakari either niwachane na siasa au niamie chama kingine..huu ni unafiki mtupu
  2. G

    Kwa nini lowassa amepokelewa siku aliyokufa chacha wangwe?

    Mkuu akili yako mgando sana..... Naomba ukajipange maana Chacha Wangwe alifariki 27/07/2008 Leo ni tarehe 28/07/2008..kweli nimeeamini CCM mwaka huu lazima waokote makopo
  3. G

    Hotuba ya Mbowe Kumkaribisha Lowassa

    Mkuu nilijua umeiweka hotuba tuisome kumbe heading na mada haviendani...Next time ujifunze bro
  4. G

    Sikubaliani na hoja ya Lowassa Kujiengua CCM na Kujiunga CHADEMA/UKAWA

    Mkuu hizo ni rumours tuu..ni uongo mtupu..Hakuna mwanachadema mwenye miaka 30 kwenye chama maana chama hakina hata miaka 25 toka kiundwe...Husipende kusikiasikia kutoka kwa watu wengine ni pro-ccm..SSikiliza maneno kutoka kwa viongozi ndio ufanye maamuzi yako ...Vinginevyo Viva Chadema Viva Ukawa
  5. G

    Sikubaliani na hoja ya Lowassa Kujiengua CCM na Kujiunga CHADEMA/UKAWA

    Utaamini vipi wakati wewe ni Kada wa CCM....heading na mada wala haziendani kabisa...Ni wapi Chadema wametangaza Lowassa kuwa Mgombea uraisi wao ??? CCM mwaka huu mtabeba makopo ...Lowassa atakuwa mwanachama wa kawaida na uongozi wake mkubwa ni Ubunge nothing more
  6. G

    GE2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

    Hapana..awe mwanachana wa kawaida Uraisi sio Rahisi
  7. G

    Mbunge kumrithisha anaemuitaji CHADEMA, tutakuja kulia sikumoja

    Ni pumba sana...umeng'ata na kupuliza
Back
Top Bottom