Sasa nina uzoefu wa miaka minne kwenye ufugaji wa ndege hao, nimetumia chonjo tofauti na hiyo kwa mafanikio, kosa niliyofanya ni kuiamini tatu moja, kwani nilipoteza 100% ya vifaranga, mbaya zaidi hata nilipojaribu kutumia contact walizoweka hawakujibu kitu. Be careful.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.