Recent content by G rays

  1. G

    Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

    Tatizo la mmeng'enyo kwenye mfuko wa chakula kwa kuku aina ya kuroila, je nini chanzo na tiba?
  2. G

    Chanjo ya Tatu Moja kwa Vifaranga

    Sasa nina uzoefu wa miaka minne kwenye ufugaji wa ndege hao, nimetumia chonjo tofauti na hiyo kwa mafanikio, kosa niliyofanya ni kuiamini tatu moja, kwani nilipoteza 100% ya vifaranga, mbaya zaidi hata nilipojaribu kutumia contact walizoweka hawakujibu kitu. Be careful.
Back
Top Bottom