Mimi nilivyoelewa ni kwamba maoni hayo yalichukuliwa na kuandikwa kwenye vitabu viwili ambavyo Dr. aliviwakilisha na hayo mabox ni kama ushahidi pindi tume ikipenda kujilidhisha na sio kama wengine wanavyotaka kuaminisha wengine kwamba maoni yamekataliwa
wamewazalaulisha wanafunzi wa vyuo kwa kweli, lakini katika tafakuri yangu nimeona hawa vijana walio tajwa hapo juu wanataka watafutwe ili wapewe ajira hawana lolote.
vijana wa singida kwa sasa hasa wa jimbo hili wamebadlika sana ila wanakosa elimu ya mabadiliko, lakini wachache wao tupo imara na tunaendelea kutoa elimu.
Hili ni jimbo linaloongozwa na ccm kwa muda mrefu ambalo ni moja ya ngome imara ya ccm kwa mkoa wa singida , kwa sasa linaongozwa na mbunge wa ccm john Lwanji, wananchi wamekua na kiu ya madiliko kwa muda mrefu lakini wanamasikitiko kuwa viongozi wa kitaifa wa chadema hawajawahi kufika maeno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.