Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba msaada wa namna ya kupta product key za microsoft office 2007 make nimedownload hiyo microsoft office ila kila nikitaka kuinstall kwenye laptop inataka niweke hizo product key ambazo sina na sijui nazipataje
Mwenye uelewa wa hili anisaidie...
Mkuu ninafangasi katikati ya mapaja na sehemu za siri nimetumia dawa mbalimbali lakini zinapungua tu na baada ya muda zinarudi tena,,,,nifanye nini ili ziishe kqbisa na zisirudi tena?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.