Recent content by funza

  1. F

    GE2025 Wenje: Sasa hivi nimetoka CHADEMA, wanasema sina akili

    Wenje ni Garasa ccm wamezoa kijitu cha Ajabu kweli
  2. F

    GE2025 Wenje: Sasa hivi nimetoka CHADEMA, wanasema sina akili

    Wenje hakuwa akiheshimika chadema kwani anajulikana kwa Tabia za hovyo na zwazwa mwenzake ni yule mzee wa kule bomang’ombe aliyeshiriki kuuza watu kwenda Chaumaccm, zwazwa wengi unao huko ccm Nchi ina miaka 65 haina maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko japan na mataifa ya ulaya
  3. F

    GE2025 Wenje: Sasa hivi nimetoka CHADEMA, wanasema sina akili

    Kwa kifupi wenje hakuwa na point hata moja kipindi chote dakika 45 kaongea umbea majungu fitina uzushi na upumbavu mwingi
  4. F

    GE2025 Wenje: Sasa hivi nimetoka CHADEMA, wanasema sina akili

    Wenje hana jipya watanzania walishampuuza sana ni mwanasiasa kanjanja, Mpenzi wa siasa za maji taka Taarabu umbea na kuendekeza njaa, na akitaka kujipima aje hapa jukwaani ndipo atajua watanzania wamemchoka
  5. F

    GE2025 Wenje: Sasa hivi nimetoka CHADEMA, wanasema sina akili

    Wenje kaichafua ccm zaidi badala ya kusafisha
  6. F

    GE2025 Wenje: Sasa hivi nimetoka CHADEMA, wanasema sina akili

    Wenje akiwa chadema alikuwa mjinga jinga sana na sasa wenje yupo ccm kazidi upumbavu
  7. F

    GE2025 Wenje: Sasa hivi nimetoka CHADEMA, wanasema sina akili

    Wewe ndiyo ujitafakari sana kwani huko ccm wataacha kukulipa posho kwa utetezi usiokuwa na maana, Wenje akiwa chadema tayari alikuwa ni mtu asiyeaminika baada ya kumpelekea pesa Lisu nyumbani kwake akiwa na Abdul, hivyo Tambua kuwa Wenje akiwa chadema hana Akili ni zwazwa na wenje akiwa ccm ni...
  8. F

    GE2025 Wenje: Sasa hivi nimetoka CHADEMA, wanasema sina akili

    Watetezi wa ccm mitandaoni kaeni mjue kuwa Wenje ni mbumbumbu zwazwa yupo ccm kwa sababu ya njaa zake hana upendo na ccm kwani yeye anajali njaa zake kuliko chochote kile
  9. F

    GE2025 Wenje: Sasa hivi nimetoka CHADEMA, wanasema sina akili

    Wenje alishadharaulika sana bora ccm waache kumnunulia Airtime kwani badala ya kuwasaidia anawachafua zaidi
  10. F

    GE2025 Wenje: Sasa hivi nimetoka CHADEMA, wanasema sina akili

    Chadema hawana BOT hawana Serikali hawana pesa kama wewe na Hazina yenu, wenje pindi anajiunga chadema alikuwa na Akili za mageuzi hakuwa na njaa kama sasa ambayo imempelekea kujitoa fahamu zote na kuongea upumbavu dakika 45 zote
  11. F

    GE2025 Wenje: Sasa hivi nimetoka CHADEMA, wanasema sina akili

    Wenje keshajitoa fahamu zote tutashuhudia akiongea ujinga zaidi kwani hana kazi zaidi ya kuwa chawaccm
  12. F

    GE2025 Wenje: Sasa hivi nimetoka CHADEMA, wanasema sina akili

    Akili za wenje ni kama za mjusi cha Ajabu eti anamsifia mama kuwa aliwarejesha toka uhamishoni yeye Lema na Lisu na pia kuruhusu mikutano ya Siasa ambayo ilikuwa imepigwa marufuku, Ni mjinga sana yaani kasahau kuwa vyote hivyo vilikuwa kimyume na sheria na katiba ni uonevu mtupu, kuwarejesha...
  13. F

    GE2025 Wenje: Sasa hivi nimetoka CHADEMA, wanasema sina akili

    Jana kwenye Dakika 45 hakujibu maswali alikwepa yote akabakia kusifia ccm tu na kuwakandia chadema kwa style ya mipasho Taarabu, kwa kifupi ccm wameokota mzigo wa hovyo watajuta baadae na sasa kwani Wenje ni kunguru habebeki
  14. F

    GE2025 Wenje: Sasa hivi nimetoka CHADEMA, wanasema sina akili

    ccm wamemnunua kwa vicent kidogo kwani wenje ana njaa sana, ni kahaba wa siasa hana msimamo na Akili zake ni finyu mno
  15. F

    GE2025 Wenje: Sasa hivi nimetoka CHADEMA, wanasema sina akili

    Wenje sasa ni mbea anafanya siasa za umbea majungu fitina uzushi hana uwezo wa kujenga hoja kawa mwimba Taarabu IQ yake ni ndogo sana Njaa zinamsumbua, laana ya kuwasariti chadema zitamwandama hadi anyooke
Back
Top Bottom