Recent content by funza

  1. F

    JamiiForums Tanzania Kutakuwa na kilio na kusaga meno Kama Donald Trump atasaini Muswada wa Ted Cruz

    Mali pesa za maccm vyote vitakwenda na maji wabakie na hivyo walivyonavyo huko
  2. F

    JamiiForums Tanzania Kutakuwa na kilio na kusaga meno Kama Donald Trump atasaini Muswada wa Ted Cruz

    Wewe huna mali huna pesa nje lakini Maccm wana mali zao wana pesa zao wameficha huko sasa zote zitakwenda na maji
  3. F

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM walia chonde chonde marekani hilo rungu la Donald Trump lisitufikie, waomba waende Marekani kujieleza bunge la senate / congress

    Neno Nchi huru kwa America halipo wao kila Nchi wanaiona haipo huru
  4. F

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM walia chonde chonde marekani hilo rungu la Donald Trump lisitufikie, waomba waende Marekani kujieleza bunge la senate / congress

    Neno Nchi huru kwa America halipo wao kila Nchi wanaiona haipo huru
  5. F

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM walia chonde chonde marekani hilo rungu la Donald Trump lisitufikie, waomba waende Marekani kujieleza bunge la senate / congress

    Marekani hana Taifa huru yeye huzama kokote bila kujali sasa yupo cuba na kwingineko anawachangisha waarabu pesa kwa nguvu kugharamia vita ya iran ambayo ni super power sembuse Tanzania
  6. F

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM walia chonde chonde marekani hilo rungu la Donald Trump lisitufikie, waomba waende Marekani kujieleza bunge la senate / congress

    Wana uchungu mali zao pesa zao walizoficha huko zitapotea
  7. F

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM walia chonde chonde marekani hilo rungu la Donald Trump lisitufikie, waomba waende Marekani kujieleza bunge la senate / congress

    Mali zao pesa zao kwenye Nchi rafiki wa America kote vitataifishwa
  8. F

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM walia chonde chonde marekani hilo rungu la Donald Trump lisitufikie, waomba waende Marekani kujieleza bunge la senate / congress

    Waziri kombo kawapa Rushwa ya kuja Tanzania aje kuwapa cash akizani wana njaa
  9. F

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM walia chonde chonde marekani hilo rungu la Donald Trump lisitufikie, waomba waende Marekani kujieleza bunge la senate / congress

    ccm bado wanadhani America ni kama wanatania vile maana waziri Kombo kaongea Ujinga kuwa atawaalika wabunge wa America kuja Tanzani atagharamia gharama zote , ni aibu ni Rushwa hiyo kwani walimwambia hawana pesa za kusafiri kuja Tanzania? wana Balozi wana CIA FBI wao wapo Tanzania wanajua kila...
  10. F

    JamiiForums Tanzania Walifikiri Marekani inatania, vilio vimeanza kusikika ndani na nje ya bunge

    ccm waache kuishi kwa kupenda kesi kesi kumtumia msajili wa vyama kuonea chadema kutumia dola kuwanyanyasa chadema badala ya kulalamika bungeni wajikite kuacha mizengwe kwa chadema wamwachie Lisu toka Gerezani
  11. F

    JamiiForums Tanzania Walifikiri Marekani inatania, vilio vimeanza kusikika ndani na nje ya bunge

    Tarehe 29 marekani ilikuwepo ?
  12. F

    JamiiForums Tanzania Walifikiri Marekani inatania, vilio vimeanza kusikika ndani na nje ya bunge

    Kilichofuata kwa jiwe si ulikiona yupo hai?
  13. F

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wenje: Sasa hivi nimetoka CHADEMA, wanasema sina akili

    Wenje ni Garasa ccm wamezoa kijitu cha Ajabu kweli
  14. F

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wenje: Sasa hivi nimetoka CHADEMA, wanasema sina akili

    Wenje hakuwa akiheshimika chadema kwani anajulikana kwa Tabia za hovyo na zwazwa mwenzake ni yule mzee wa kule bomang’ombe aliyeshiriki kuuza watu kwenda Chaumaccm, zwazwa wengi unao huko ccm Nchi ina miaka 65 haina maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko japan na mataifa ya ulaya
  15. F

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wenje: Sasa hivi nimetoka CHADEMA, wanasema sina akili

    Kwa kifupi wenje hakuwa na point hata moja kipindi chote dakika 45 kaongea umbea majungu fitina uzushi na upumbavu mwingi
Back
Top Bottom