Lengo la nyerere ilikuwa ni kuwa Serikali moja tu alikuwa kamaliza Tanganyika akawa yupo mbioni kumaliza ya Zanzibar ili kusiwe na baraza la wawakilishi kuwe na bunge moja Serikali moja, karume akamgeuka ndipo wenye Nchi yao wakafanya yao lakini ikashindikana Zanzibar kumezwa na bara hadi sasa...
Maana ya bujibuji ni bleed ya usaha baada ya kulawitiwa kwa Tabia yako ya umbea Majungu, huna ujanja wa kumnyoshea yeyote kidole kwani wewe bwabwa umeoza tigo kote unashinda ndani kutengeneza Majungu ya kipumbavu umeandika majina ya watu ukazani ni sifa kumbe ni upumbavu na ushamba wako wewe...
Wewe ndiyo unalialia kishamba kipumbavu pumbavu kutengeneza utumbuaji bandia wa roho mbaya kutaja majina ya watu kwa njia za kijinga unajiona mjanja? acha ubwege roho mbaya dua zako za kuku utasalia nazo huko ulipo, Tanesco ipo imara licha ya Majungu yako na dua zako za kijinga
Mama Samia yupo busy kuchuja maRC na maDC acheni kumtwika mizigo mingine asije kulemewa mpaka akamsahau DC wa Hai OLe sabaya madarakani na kuishangaza umma wa Tanzania
Hawa ni wakurugenzi wa Tanesco? au wapo kwenye Bodi ya Tanesco? au umeamua kuwa Shemeji wa Tanesco kwa nguvu pasipo kujali kuwa utaonekanaje? Tanesco ya sasa wamejitahidi sana kulinganisha na tanesco ya kipindi cha kikwete ambayo ilikuwa kero kubwa mgao wa umeme usiokwisha, acheni Majungu acheni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.