Wenje hakuwa akiheshimika chadema kwani anajulikana kwa Tabia za hovyo na zwazwa mwenzake ni yule mzee wa kule bomang’ombe aliyeshiriki kuuza watu kwenda Chaumaccm, zwazwa wengi unao huko ccm Nchi ina miaka 65 haina maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko japan na mataifa ya ulaya
Wenje hana jipya watanzania walishampuuza sana ni mwanasiasa kanjanja, Mpenzi wa siasa za maji taka Taarabu umbea na kuendekeza njaa, na akitaka kujipima aje hapa jukwaani ndipo atajua watanzania wamemchoka
Wewe ndiyo ujitafakari sana kwani huko ccm wataacha kukulipa posho kwa utetezi usiokuwa na maana, Wenje akiwa chadema tayari alikuwa ni mtu asiyeaminika baada ya kumpelekea pesa Lisu nyumbani kwake akiwa na Abdul, hivyo Tambua kuwa Wenje akiwa chadema hana Akili ni zwazwa na wenje akiwa ccm ni...
Watetezi wa ccm mitandaoni kaeni mjue kuwa Wenje ni mbumbumbu zwazwa yupo ccm kwa sababu ya njaa zake hana upendo na ccm kwani yeye anajali njaa zake kuliko chochote kile
Chadema hawana BOT hawana Serikali hawana pesa kama wewe na Hazina yenu, wenje pindi anajiunga chadema alikuwa na Akili za mageuzi hakuwa na njaa kama sasa ambayo imempelekea kujitoa fahamu zote na kuongea upumbavu dakika 45 zote
Akili za wenje ni kama za mjusi cha Ajabu eti anamsifia mama kuwa aliwarejesha toka uhamishoni yeye Lema na Lisu na pia kuruhusu mikutano ya Siasa ambayo ilikuwa imepigwa marufuku, Ni mjinga sana yaani kasahau kuwa vyote hivyo vilikuwa kimyume na sheria na katiba ni uonevu mtupu, kuwarejesha...
Jana kwenye Dakika 45 hakujibu maswali alikwepa yote akabakia kusifia ccm tu na kuwakandia chadema kwa style ya mipasho Taarabu, kwa kifupi ccm wameokota mzigo wa hovyo watajuta baadae na sasa kwani Wenje ni kunguru habebeki
Wenje sasa ni mbea anafanya siasa za umbea majungu fitina uzushi hana uwezo wa kujenga hoja kawa mwimba Taarabu IQ yake ni ndogo sana Njaa zinamsumbua, laana ya kuwasariti chadema zitamwandama hadi anyooke
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.