Kwa jina naitwa Ibrahim Hassan (Fundi Ibra) ni mkazi wa Dar es salaam (Magomeni).
Ni fundi mzuri wa magari ya aina zote,
*kwa kupiga rangi,
*Kunyoosha
*na kufanya service ya gari yako.
Karibu katika Gereji yetu iliopo Magomeni Makanya (Gereji kwa Bonge)
Kwa mawasiliano zaidi piga namba;
0717...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.