Recent content by Fundi George

  1. Fundi George

    Hellow

    haaahaa alikua supervisior wangu
  2. Fundi George

    Fundi Umeme

    asante mkuu
  3. Fundi George

    Fundi Umeme

    sio Mali ya Tanesco mkuu!!
  4. Fundi George

    Fundi Umeme

    Bei yake ni 180,000Tsh mkuu
  5. Fundi George

    Hellow

    😸
  6. Fundi George

    Hellow

    asante sana mkuu
  7. Fundi George

    Fundi Umeme

    Zoezi la kufunga Submita hizi za PREPAY Hizi ni Mita Binafsi Ambazo ni maalumu kabisa kwa wale Watu wanaotumia mita moja ya LUKU zaidi ya mtuu mmoja limekamilika Faida za hii Mita nikwamba owapo mtumiaji mmoja kati ya wale wanaotumia umeme Luku moja zaidi ya wawili akiishiwa umeme hatapata tena...
  8. Fundi George

    Hellow

    asante sana
  9. Fundi George

    Kama unahitaji fundi umeme wa nyumba ya ndoto yako

    Tazama picha izi mbili picha ya kwanza ni kabla ya kufanya installation ya umeme Picha ya pili ni baada ya kufanya installation ya umeme Kwa mahitaji ya Fundi umeme wasiliana Fundi George 0622313163 0622313163
  10. Fundi George

    Kama unahitaji fundi umeme wa nyumba ya ndoto yako

    TUZIJUE AINA ZA MAIN SWITCH, MAANA YA MAIN SWITCH. (1)AINA ZA MAIN SWITCH: Tuna aina kuu mbili za Main switch au kwa jina lingine unaweza kuziita Distribution bord au Distribution fuse bord ambazo ni: (a) SINGLE PHASE MAIN SWITCH au kitaalamu zaidi huitwa SINGLE PHASE NEUTRAL na kifupi chake...
  11. Fundi George

    Kama unahitaji fundi umeme wa nyumba ya ndoto yako

    TUZIJUE AINA ZA MAIN SWITCH, MAANA YA MAIN SWITCH. (1)AINA ZA MAIN SWITCH: Tuna aina kuu mbili za Main switch au kwa jina lingine unaweza kuziita Distribution bord au Distribution fuse bord ambazo ni: (a) SINGLE PHASE MAIN SWITCH au kitaalamu zaidi huitwa SINGLE PHASE NEUTRAL na kifupi chake...
  12. Fundi George

    Kama unahitaji fundi umeme wa nyumba ya ndoto yako

    Tv showcase iliyofanyiwa design ya umeme kwa kazi nzuri kama hizi wasiliana na Fundi George 0622313163 0622313163 tunapatikana Dar es salaam.
  13. Fundi George

    Hellow

    Asante
  14. Fundi George

    Hellow

    Shukrani
  15. Fundi George

    Hellow

    Habari wadau wa jamii forums leo nimejiunga rasmi naomba mnipoke Nafanya Ellectrical installation majumbani, viwandani, maofisin n.k
Back
Top Bottom