Recent content by Fulugobe

  1. F

    Open Conference- Waziri, HESLB

    Nilipata tetesi kuwa leo hii kungekuwa na open conference juu ya sakata la HESLB na wale tuliionyimwa mkopo elimu ya juu. Kuna yeyote mwenye taarifa kamili?? Matiku, Mkisyeli tunaomba mtujuze wandugu.
  2. F

    Kwa waliokosa mlopo heslb 13/14

    Ina maana hata cc wa diploma-prority courses tulioandikiwa completed form six/diploma more than three years back tunaweza pata huo mkopo au imekula kwetu kijana??
  3. F

    Bodi ya mikopo imedanganya?

    Dah! mdau mbona unakata tamaa mapema hv? Kuna jamaa wako huko town wanapambana kuhusu sakata hili. Mimi mwenyewe ni mhanga wajanga hili. Tujipe moyo, huenda mambo yakawa mazuri punde!!
  4. F

    read khapa kama upo udsm

    Yap ni lazima, kisha fuata utaratibu huu, PROCEDURE FOR CHANGE OF DEGREE PROGRAMME All first year students are required to register in the academic programmes they have been admitted to. Those wishing to transfer from one academic programme to another will be allowed only where the student...
  5. F

    msaada... wale wa Geology!

    Basically, tofauti ipo na ndio sababu zikawa ni degrees tofauti isipokuwa zipo zipo course ambazo kwa pamoja wote mtazisoma, na zipo kozi nyingine lazima mtatofautiana. Mfano. 1.Anayesoma engineering geology atasoma na kozi ya soil mechanics, foundation engineering, civil engineering...
  6. F

    read khapa kama upo udsm

    Yap ni lazima, kisha fuata utaratibu huu, PROCEDURE FOR CHANGE OF DEGREE PROGRAMME All first year students are required to register in the academic programmes they have been admitted to. Those wishing to transfer from one academic programme to another will be allowed only where the student...
  7. F

    read khapa kama upo udsm

    Yap ni lazima, kisha fuata utaratibu huu, PROCEDURE FOR CHANGE OF DEGREE PROGRAMME All first year students are required to register in the academic programmes they have been admitted to. Those wishing to transfer from one academic programme to another will be allowed only where the student...
  8. F

    Je unataka ku-appeal HESLB?

    Well, mchango mzuri umetoa kaka. Kimsingi watu wanakata rufaa kwa kuwa vielelezo walivyovitoa mwanzo, kozi walizopangiwa be it priority or non- prriority na hali zao kiuchumi walizozieleza zimepuuzwa ama kutochukuliwa kuwa ni za kweli. Anyways, asante kwa kutupatia japo mwangaza wa nini...
  9. F

    Is this a reason why u ddnt secure a loan?

    Mdau hapa naona haiko sawa. Watu tunahistoria ya kusomeshwa na wazazi wetu kupitia SACCOS kwa mikopo na marejesho ya fedha kidogo kidogo za mama zetu wakaanga vitumbua. Tumesoma shule za private kwa kuwa ni serikali hii haikutaka kutupangia shule zake kwa kuwa ufaulu wetu ulikuwa ni wa kiwango...
  10. F

    Yaliyojiri heslb

    E bwana muulize huyo mkurugenzi utaratibu wa appeals unaanza kufanyika lini na ni viambatanisho gani tunatakiwa kuwa navyo ktk zoezi hilo. Pia Na kwa wale wenye priority programs walioomba kupitia NACTE na wamekosa mkopo inakuwaje?
  11. F

    Majibu ya bodi kwa waliokosa mkopo

    Huyu mkurugenzi atakuwa ana matatizo, kwani wote walipata mkopo ni mayatima na walipeleka vyeti vya vifo? Mbona wapo wenye wazazi wote wawili na ni wadosi na mikopo wamepata??Ametoa jibu la kipuuzi sana.
  12. F

    udsm jinsi ya kuhama college conas-udbs

    Ingia web ya UD, tafuta kichwa cha habari kisemacho taarifa kwa wanafunzi wapya UDSM. Ndani ya hiyo utapata link inayohusu ubadilishaji wa course.
  13. F

    Kwa hili heslb na mwaisobya mnastahili lawama

    Ni kweli, guidelines na criteria za utoaji mikopo kwa mwaka huu walizificha. Lakini hii bado haiwapi wao excuse ya kuwanyima watu wengi mikopo. Pesa zipo nh ufisadi na unyanyasaji tu.
  14. F

    Heslb makuzi kweli

    Watu wenye majibu ya kipuuzi huwa hawakosekani kwenye maofisi, huyo jamaa amejibukwa mtazamo wake. Naamini wasemaji wakuu juu ya hilo wapo na watasema jambo lenye maana. Waulizeni pia mpango wa ku-appeal umekaaje?
Back
Top Bottom