Recent content by FullImani

  1. F

    Natafuta mwekezaji wa bidhaa kwa ajili ya duka – ubia wa faida kwa pamoja

    Habari wakuu, Ninaendesha duka la bidhaa za rejareja Kijiji cha kanyigo, Kagera. Ni eneo lenye watu wa kawaida wanaohitaji bidhaa muhimu kila siku kama mchele, unga, sukari, mafuta, sabuni, n.k. Lengo langu ni kukuza duka hili na kufikia wateja zaidi. Kwa sasa natafuta mshirika wa kweli ambaye...
Back
Top Bottom