Recent content by FULBERT TARATIBU

  1. F

    Rasimu ya katiba mpya imeruhusu ndoa za jinsia moja?

    Rasimu ya katiba mpya haijaruhusu ndoa za jinsia moja kwa sababu hii ni rasimu ya kwanza kwa hiyo haijagusa vitu vyote vilivyopendekezwa. Kwa hiyo tusubiri rasimu ya pili tuone kama itazungumzia suala hilo.
Back
Top Bottom