Recent content by Freygod

  1. F

    Nikopeshe 140K nirudishe 230 Ndani ya wiki mbili

    Hata kama ningekuja kwa ID ya zamani kama ni lengo langu ni kuwapiga watu bado lisingebadilika..
  2. F

    Nikopeshe 140k nirudishe 230k ndani ya week mbili

    Riba kubwa inaendana na dhamana nilizosema nitaziweka..ningekuwa naweka asset nisiweka hiyo
  3. F

    Nikopeshe 140k nirudishe 230k ndani ya week mbili

    Wakuu bado hali ngumu..niokoeni nitatue ishu yangu
  4. F

    Nikopeshe 140K nirudishe 230 Ndani ya wiki mbili

    Wakuu bado shida ipo palepale..niokoeni
  5. F

    Nikopeshe 140K nirudishe 230 Ndani ya wiki mbili

    Bado hatujahafikiana mkuu,aliyeweka no mmoja ndo namcheki saivi
  6. F

    Nikopeshe 140K nirudishe 230 Ndani ya wiki mbili

    Mfano nhif,living certificate,birth cert,voter ID..na ndo maana nikaweka riba kubwa maana dhamana ya material thing kwa sasa sina
  7. F

    Nikopeshe 140k nirudishe 230k ndani ya week mbili

    Wakuu bado nahitaji msaada wenu,kwa condition ambayo nimeielezea tayari
  8. F

    Nikopeshe 140K nirudishe 230 Ndani ya wiki mbili

    Sababu sina dhamana kama material thing..nina identities zangu na pia nina shida sana na hicho kiasi
  9. F

    Nikopeshe 140k nirudishe 230k ndani ya week mbili

    Mkuu kwa hali niliyonayo kwa sasa dhamana kama dhamana sina,ila naweza kuacha confidential zangu..
  10. F

    Nikopeshe 140k nirudishe 230k ndani ya week mbili

    Wakuu heshima kwenu Shida haina mwenyewe,naomba kama kuna mdau ambaye anaweza kunikopesha hicho kiasi nilichokitaja hapo juu na kwa riba hiyo anisaidie nimalize shida yangu Kuhusu kitu cha kuweka bondi naweza nisiwe nacho cha maana kwa sasa ila tutaongea zaidi jinsi tutakavyofanya.. Nitaacha...
  11. F

    Nikopeshe 140K nirudishe 230 Ndani ya wiki mbili

    Wakuu heshima kwenu Shida haina mwenyewe,naomba kama kuna mdau ambaye anaweza kunikopesha hicho kiasi nilichokitaja hapo juu na kwa riba hiyo anisaidie nimalize shida yangu Kuhusu kitu cha kuweka bondi naweza nisiwe nacho cha maana kwa sasa ila tutaongea zaidi jinsi tutakavyofanya. Nitaacha...
Back
Top Bottom