Recent content by Fresh Don

  1. F

    Kuna tiba ya 'ushoga' kwa mwanaume?

    Wadau, mwanaume ambae ameshakuwa shoga, yaani yeye alikuwa anaingiliwa tu. Huwa kuna tiba ya kumtoa huko? Nilisikia kama mwanaume kaingiliwa, halafu kamwagiwa ndani, zile manii zinatakiwa kutolewa ili zisimletee shida. Ni kweli tiba ipo?
  2. F

    Wapi nitapata mkopo kwa kuweka dhamana ya nyumba?

    Bank wanataka Mpaka niwe Mfanyakazi za Serikalini.
  3. F

    Wapi nitapata mkopo kwa kuweka dhamana ya nyumba?

    Hapana,siuzi nyumba. Ila Nina shida na mkpo wa Pesa tu.
  4. F

    Wapi nitapata mkopo kwa kuweka dhamana ya nyumba?

    Siwezi kuuza,maana ilipo ndio na Mimi nakaa nyumba ya uwani. Nauzaje sasa? Nina shida tu na hiyo pesa
  5. F

    Wapi nitapata mkopo kwa kuweka dhamana ya nyumba?

    Thamani ya nyumba ni 50Mil. MKOPO nirejeshi Miaka 5 sio mbaya. Riba isizidi 20%.
  6. F

    Wapi nitapata mkopo kwa kuweka dhamana ya nyumba?

    Nyumba Iko Dodoma. Ina vyumba vitatu,Kimoja master. Public Toilet, Jiko ndani Iko ndani ya fensi.
  7. F

    Nitapataje mkopo? Dhamana yangu ni nyumba

    Bank nyingi sasa HIVI hawataki nyumba,wanamtaka Ufanye kazi Serikalin au uwe na biashara. Nyumba inabaki kama Dhamana TU
  8. F

    Wapi nitapata mkopo kwa kuweka dhamana ya nyumba?

    Halloww, naombeni msaada jamani. Wapi nitapata mkopo kwa Kuweka dhamana ya Nyumba?. Nimejaribu kwenye Banks wanasema mpaka niwe na biashara au Mfanyakazi wa Serikali, NAHITAJI MKOPO ambao dhamana ni nyumba TU. MKOPO usiwe wa dharura lakini. Niurejeshe taratibu.
Back
Top Bottom