Nimenunua leo 88,000 nimekunywa usiku nimetapika baada ya kunywa maji ya vugu vugu. Nimeandikiwa hii baada ya ile ya dawa moja moja kusababisha bacterial resistance. H.pylori wamegoma kutoka so nimekuwa prescribed heligo kit na daktari.
Sasa naomba ushauri wenu wataalamu, je muda sahihi wa...
Wakuu habari za asubuhi. Naomba mwenye experience ya kulipia na kutumiwa mzigo na hawa jamaa wa kuitwa Tunzaa online shop, wana application yao pia wapo kwenye app ya mpesa. Kuna jambo nithibitishe.
Mshahara umeongezeka kiasi sio mbaya, wale wa ushauri punguzeni shobo mkashauri familia zenu majumbani kwenu ukute hata cheque namba hamna mnajikuta keyboard rich gang mafallah sana. Wacha nikanywe bia kidogo
Wapuuzi hawa wanatuona tuna njaa sana kumbe maisha yako sawa tu, hatujuani humu watu wapunguze ushauri tayari tuna mipango yetu. Tunasubiria mshahara sasa
Hivi kwanini watu msiokuwa watumishi wa umma mnakuwa na shobo na huu uzi sana? Lengo la kuanzishwa huu uzi ni kupeana updates za lini cheque number zetu zinafurahi basi! Ushauri wa kufungua biashara sijui miradi pelekeni jukwaa la biashara, kilimo na ujasiriamali! Hapa tunaulizia lini salary...
Inasikitisha sana wazazi wanawageuza watoto ndio retirement fund! Sasa mtoto ahudumie familia yake halafu akuhudumie na ww uliyekula bata miaka 40 bila kufikiria fainali uzeeni ipo kweli. Tunahitaji kubadirika sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.