Inawezekana kwa sababu serikali ina fedha, ni suala la kuamua tu katika hali ya kuwawezesha wahitimu wasiende kupoteana mtaani.
Ukisoma maelezo yote vzr kuna sehem nimeandika kwamba wanaweza wakashirikiana na taasisi zngne za fedha, kwa mfano benki. Wafinance mawazo ya kibiashara ya wahitimu...
Hello wadau wa JF,
Nimekuja kuwashirikisha wazo ambalo likifanyiwa kazi linaweza likaleta mabadiliko makubwa kwa watanzania. Andiko langu limelenga katika sekta ya elimu kwa sababu ya imani yangu juu nchi yetu yenye Mali nyingi na wasomi wengi lakini tunaishi kimaskini.
Licha ya kwamba elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.