Habar wana JF!
Nahtaji kuanza kufanya kilimo cha matikiti maji kule Mikese Morogoro mwezi huu wa sita!
Kipi cha kufanya ndugu zangu ili swala hili liende vzuri!
Habar ndugu wana jamii,
Naombeni mawazo yenu nahtaj kuanza kilimo cha matikiti maji kule mikese Morogoro, mwezi huu wa sita! Nifanye nini ili niweze kufanikisha malengo yangu
Msaada jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.