Recent content by Frank Rugwana

  1. F

    Tozo bado ni mwiba kwa Watanzania

    Gharama za maisha zimekuwa zikipanda siku hadi siku. Vyakula vimekuwa juu kiasi kwamba wananchi wanalazimika kuishi maisha magumu kupindukia. Serikali imeshindwa kuwasaidia wananchi ktk kipindi kigumu wanachopitia haswa kuzuia mfumuko wa bei wa vyakula na bidhaa. Serikali inatambua wazi kuwa...
  2. F

    CHADEMA mnatupaka matope kwasababu mnafahamu tumeliondoa tatizo ambalo hata nyinyi linawatesa

    CHADEMA; ni mdau mkubwa sana wa mapambano ya kuidai demokrasia na haki inchini, tunawaheshimu sana na tunautambua umuhimu wao ktk juhudi zote. Binafsi nilidhani chama no1 ambacho kingetuunga mkono ktk kumfukuza mbatia uwanachama ni CHADEMA lkn kwa masikitiko tunashindwa kuwaelewa CDM wako ktk...
  3. F

    CHADEMA mnatupaka matope kwasababu mnafahamu tumeliondoa tatizo ambalo hata nyinyi linawatesa

    Unaonekana haufuatilii bro Chadema ndio wako buys na Nccr. Makatibu wakuu wote was chadema wanaisemea Nccr kama tumewaajiri
  4. F

    CHADEMA mnatupaka matope kwasababu mnafahamu tumeliondoa tatizo ambalo hata nyinyi linawatesa

    Mbatia aligomea TCD baada ya kukataliwa na Rais kuteuliwa Ubunge. Alafu nyinyi si ndio mlianzishaga kumuuita Mbatia msaliti? Anatumika na CCM? Leo mbona roho inawauma sisi kumuondoa mtu wa namna iyo? Sema kuhusu Mbowe alivyotoka gerezani akakimbilia moja kwa moja Ikulu na baada ya hapo...
  5. F

    CHADEMA mnatupaka matope kwasababu mnafahamu tumeliondoa tatizo ambalo hata nyinyi linawatesa

    Kila chama kina utaratibu na katiba yake, ninawashangaa wanasiasa waliokosa maneno ya kuzungumza wanawashwa na utaratibu wa kikatiba unaofanywa na chama chetu cha NCCR mageuzi. Chadema mnatupaka matope kwasababu mnafahamu tumeliondoa tatizo ambalo hata nyinyi linawatesa bila kusema. Tuhuma za...
  6. F

    CHADEMA mnatupaka matope kwasababu mnafahamu tumeliondoa tatizo ambalo hata nyinyi linawatesa

    Kila chama kina utaratibu na Katiba yake, ninawashangaa wanasiasa waliokoma maneno ya kuzungumza wanawashwa na utaratibu wa Kikatiba unaofanywa na chama chetu cha NCCR Mageuzi. CHADEMA mnatupaka matope kwasababu mnafahamu tumeliondoa tatizo ambalo hata nyinyi linawatesa bila kusema. Tuhuma za...
Back
Top Bottom