Recent content by FRANK NDUNGURU

  1. F

    Je, nitapataje line ya tigo-pesa?

    Hata kama leo kuna uwezekano wa kuipata hii LINE ya TIGO-PESA nipo tayari. Naomba tuonane kwenye PRIVATE MESSAGE.
  2. F

    Vitabu vya udereva na ufundi magari

    Ahsante sana Mullar. Mimi napatikana Kimara-Temboni, DAR ES SALAAM.
  3. F

    Vitabu vya udereva na ufundi magari

    Vitabu vya kujifunzia UDEREVA, ufundi MAGARI na UMEME wa MAGARI kwa lugha ya Kiingereza na Kiswahili kwa kutumia Syllabus ya ufundishaji vinapatikana. Kwa Mawasiliano:- 0684934612. Email: sayoda2@yahoo.com / ndungurufrank@yahoo.com na mkanyia2011tz@gmail.com
  4. F

    Hodi hodi wana jf, mimi mgeni mpyaaaaaa wa jf.

    Habari zenu wana JF. Mimi ni mgeni kabisaaaa, yaani mgeni hasa ndani ya JF. Ukisikia kwamba kuna mgeni amefika hapa nyumbani, ndio mimi. Hodiiiiiiii Jamani Eeeeeeeee! Mbona Kimya, hakuna hata karibu! Hivi kweli kuna watu humu ndani?
Back
Top Bottom