Recent content by Frank Bunini

  1. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa za kulazimishwa zipo hadi leo?

    Hadi leo hii kwenye jamii yetu bado kuna msukumo wa watu kuoa au kuolewa kwa kulazimishwa. Mtu analazimishwa kumuoa/kuolewa na mtu fulani kwa sababu tu wanazozijua wao wazazi. Hili wadau limekaaje kwenye dunia ya sasa? #JF
Back
Top Bottom