Yategemea na chuo husika! Kuna baadhi ya vyuo mfano IFM mpaka ulipe 60% ya ada ( kwenye kiasi kinachobaki baada ya kutoa kiasi cha mkopo ulopata) ndo utaruhusiwa kusain boom lako. Mara baada ya kusain unaingiziwa pesa ndan ya wiki moja. NB: Kila chuo kina style yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.