Mzee
Acha kutulisha futari iliyolala baada ya Mapinduzi ya Iran mwaka 79 Israel na Iran hawajawahi kua marafiki maana Iran alianzisha hezbolah mwaka 82 ili kutetea washia wa kusini mwa lebanoni walionyang'anywa ardhi na Israel
In 1982, Hezbollah was conceived by Muslim clerics and funded by...
Iran alivoshika tuu itikadi za kiislam mwaka 79 basi Moja wapo ya malengo yake ya kwanza yalikua ni kuifutilia Israel Duniani. Hapo ndo akaanza kuunda proxy za kupambana na Israel kama hezbolah. Viongozi wake wa kidini na kiserikali walishatangaza wazi wazi kwamba wanataka kuifuta Israel kwenye...
Iran alikua ananzisha vita kupitia proxy wake yeye anakaa pembeni akakula kuku na mrija, Sasa wakaona wamfuate na yeye live aone na yeye utamu wa makombora
kwa hiyo usipoonekana ndo umekufa unaona ulivo huna akili? kama hiyo video ni ya zamani na ni AI iran wathibitishe kwamba wamemuua, leo Ali Rarijani kauliwa an Israel Defence Minister amethibitisha, sasa Iran nao wafanye hivo acha kuongea mipasho ya bi. hadija kopa
Sasa wewe hujielewi hata, mara unasema kafa, mara kakimbia.. makobazi wenzako wa Iran huko mara wanasema amekufa alafu hao hao wanasema wanataka kumuua Sasa mtu aliyekufa unamuua vipi Tena? Kweli hichi kipigo mnachopewa sa ivi kipindi Cha swaumu kinawachanganya asee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.