Sana yaan alichokiandika n kweli kabisa me jana napigakura naona jina la mother nikajiuliza huyu sindio amejitoa? Eeh matokeo yake vijana wanaoangalia alama ya vidole viwli wamempigia yeye badala ya Cuf
HATUWEZI KUSHINDA UBUNGE SEGEREA...
Ndugu zangu, kwa moyo mkunjufu kabisa napenda kuwajulisha kuwa hatuwezi tena kushinda ubunge wa jimbo hili kwenye uchaguzi uliofanyika jana.
Matokeo ya majumuisho ya kila kata yanaonesha kuwa mgombea wa Chadema, Bi. Anatropia Theonest ana wastani wa kura...
Habarini za asubuhi wanaJF, naombeni maoni yenu ni nani atakayeshinda ubunge kati ya Julias Mtatiro CUF, Frank Mwikongi ACTWazalemdo na Bonah Kalua....siku zimebaki chache
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.