Kwanini ni muhimu mitaala yetu ya elimu inatakiwa kujikita zaidi kuhusu applications na si kukariri mambo chukua mfano huu👉
Tafuta aluminium foil/tin foil, kwa lugha nyepesi foil yoyote Ile mfano ya kufungia chips au chakula chochote (nzuri ni Ile iliyokua coated pande zote mbili), ukishaipata...
Nashukuru kwa kuliona Hilo, huwezi amini kichwa Cha habari ya Uzi wangu huu niliweka K'KOO INCIDENT baada ya muda nikashangaa kimebadilika chenyewe kinasomeka Kama unavyokiona, kwamba ni controllers wa JF ndo wamebadili au ni Nini? Ngoja watu wa IT watatuthibitishia hili, of course nililiona...
Ndugu yangu Mcharo, hakuna nchi duniani isiyofanya Military Exhibition. Sema linapokuja suala la Threat Matrix (TM) husika. Basi Kuna taratibu zake, pale hawavunji mawe Kama kwenye Yale maonesho, Kuna protocols zilikua zinafuatwa!
We acha tu ndugu yangu, humu ndani tuna watu wa ajabu mno!! Hapo ningetukana ule upande wasioupenda wao kwa kiingereza, wangekielewa kiingereza na ungekuta wamenisifia humu mpaka basi yaaaaan.
Umeona Sasa mawazo yako....! Kwenye post yangu Kuna sehemu niliyosema Mimi ni CCM, humu ndani ili uwe kijana makini lazima uwe wa kupinga Pinga kila kitu? Ngoja nikwambie watu wa Mkoa wa Mara tunatoa watu Imara, ambao tuna uwezo wa kugeuza Nyakati ngumu na kuzifanya kuwa Nyakati rahisi, halafu...
Kawaida lazima pawepo na watu waliokufa katika stage za awali kwa kuangukiwa na vitu, ni ngumu kuvizuia vifo hivyo
ia vifo hivyo
Kawaida lazima pawepo na watu waliokufa katika stage za awali kwa kuangukiwa na vitu, ni ngumu kuvizuia vifo hivyo
ia vifo hivyo
Ila humu ndani 😂😂😂😂, basi tufanye mtu wa Mara ni wewe. Anecdotally(kwa bahati mbaya) Kwa kutumia neno UKOME kwa comment yako unaweza kuwa mtu wa Tanga wewe, kifupi mtu wa kutokea pwani yoyote Ile hapa TZ. This is veracious and unswervingly!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.