Recent content by Fompi

  1. F

    JamiiForums Tanzania Viupele hivi vinaota mara kwa mara kwenye uume na vinauma vibaya mno, ni ugonjwa gani?

    Acha kutumia mate kulainisha K wakati wa sex
  2. F

    JamiiForums Tanzania Hijjah ni mpango wa waarabu kupiga hela kupitia utalii, haina uhusiano na kwenda mbinguni siku ya kiyama

    Kumsalimia mtume!?? Hivi inatofauti gani na kuomba mizimu ya mababu zetu!? [emoji848]
  3. F

    JamiiForums Tanzania Serikali fungieni mchezo wa kubeti wa Aviator (kindege), unamaliza vijana

    [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
  4. F

    JamiiForums Tanzania Serikali fungieni mchezo wa kubeti wa Aviator (kindege), unamaliza vijana

    Serkali inafungia mitandao ya kijamii na huo tunatako uondolewe ni hatari kwa vijana...
  5. F

    JamiiForums Tanzania Serikali fungieni mchezo wa kubeti wa Aviator (kindege), unamaliza vijana

    [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
  6. F

    JamiiForums Tanzania Serikali fungieni mchezo wa kubeti wa Aviator (kindege), unamaliza vijana

    Lkn ukubali kuhudumia machizi muda ni hakimu mzuri
  7. F

    JamiiForums Tanzania Serikali fungieni mchezo wa kubeti wa Aviator (kindege), unamaliza vijana

    Hatari sana au Aviator nertwok iliyumba tu umeliwa au hata simu iwe umepigiwa basi huna chako
  8. F

    JamiiForums Tanzania Serikali fungieni mchezo wa kubeti wa Aviator (kindege), unamaliza vijana

    [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] jaribu kucheza ndio utajua huo ubao una rangi gani
  9. F

    JamiiForums Tanzania Serikali fungieni mchezo wa kubeti wa Aviator (kindege), unamaliza vijana

    Kweli kabisa mkuu ni hatari labda wautumie kwa ajili ya kupunguza watu uzito[emoji1][emoji706]
  10. F

    JamiiForums Tanzania Serikali fungieni mchezo wa kubeti wa Aviator (kindege), unamaliza vijana

    Na hapo ndio tunapoteza hela nyingi.. hakuna mchezaji anapata hela namba zinazotoka ni kuliwa tu angalia hiyo picha rangi ya blue means wait wameliwa sana hiyo pink na kizambarau ndio kidogo afadhali lkn hebu linganisha na blue utajua nachosema
  11. F

    JamiiForums Tanzania Serikali fungieni mchezo wa kubeti wa Aviator (kindege), unamaliza vijana

    Hii iko nchi nzima ili mradi tu huwa unaingia kwenye kampuni za kubet
  12. F

    JamiiForums Tanzania Serikali fungieni mchezo wa kubeti wa Aviator (kindege), unamaliza vijana

    Mkuu ni kweli ila ushawishi na unajua kila mtu anapenda hela za Fasta ila ndio mtego huo huchomoki lazima uliwe
  13. F

    JamiiForums Tanzania Serikali fungieni mchezo wa kubeti wa Aviator (kindege), unamaliza vijana

    Ni hatari mkuu makundi ya vijana wafanya biashara wanateketea
  14. F

    JamiiForums Tanzania Serikali fungieni mchezo wa kubeti wa Aviator (kindege), unamaliza vijana

    Imekuwa shida kubwa sana kwa vijana serikali iingilie kati iufungie tu vijana wanaumizwa sana wamekuwa watumwa hawawezi tena kutunza hela
Back
Top Bottom