Na hapo ndio tunapoteza hela nyingi.. hakuna mchezaji anapata hela namba zinazotoka ni kuliwa tu angalia hiyo picha rangi ya blue means wait wameliwa sana hiyo pink na kizambarau ndio kidogo afadhali lkn hebu linganisha na blue utajua nachosema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.