Baba askofu alisema usiku au mchana maana inawezekana alikuwa mitungi. Ashughulike na yanayo muhusu, ya kaisari amwachie kaisari... Hiyo anayotaka yeye atoke kwanza kanisani kama ukawa walivyo toka bungeni.... Aache upuuzi....
Tumesha toa sadaka na zaka, ashughulike nazo, ya dunia atuachie wenyewe
Baba askofu alisema usiku au mchana maana inawezekana alikuwa mitungi. Ashughulike na yanayo muhusu, ya kaisari amwachie kaisari... Hiyo anayotaka yeye atoke kwanza kanisani kama ukawa walivyo toka bungeni.... Aache upuuzi....
Tumesha toa sadaka na zaka, ashughulike nazo, ya dunia atuachie wenyewe
Ukawa walitegemea nini wakatoka nje? Kama ni ushindi utaupataje wakati umekimbia eneo la vita, hawakupaswa kutoka, walitakiwa kupambana mle mle mjengoni, kwa hili wametuuza, tena wametuuza kwa bei ya mafungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.