Kwa Nini umefunga pm yako hujui Kama mtu anaweza kuwa huru kule kukuulizia au kukuelezea jambo kwa uhuru kuliko hapa na hata Kama Hilo swali huralipenda si utalijibu tu bila shida...naomba unijibu
Kuna kitu nilisahau kumuuliza Insider. kuhusu mke wa Mzee Pama .Je alipogundua Mumewe kamjengea mchepuko Nyumba na mimba juu mapokeo yake yalikuwa tu positive mpaka mgawanto wa Mali keep sa ru yupo kwa Will au ilikuwaje?Mana Insider umepotray as if Yule ma
Hakuna lililomshtua Tena michepuko...
Insider acha ushamba wako sisi tunajua ushavuka viwango vya kawaida na mtu labda anataka ushauri si anaweza kukuPm? Nini usichojua mpaka Sasa eti unafunga Pm ili iweje? Acha Roho ya hivyo ndugu yetu wewe au unatuona Manyani,?
Yaani insider ALISEMA wkt Hana kitu siku zile anasoma Mama J alikuwa anampiga tafu Ila anesahau hata lyne kampiga tafu kuliko mama J Kama point kuu ndo Hiyo na wote Sasa watakuwa sare kwa.kuwa na mtoto naye.Ushauri awe.na Iryne kwenye Maisha Mama J atatusamehe Mana Insider Sasa ni wa viwango vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.