habari zenu jaman jana nliweka thread inayohusu maumivu ya titi la kulia so wadau wamenishauri niende nkachek ocean road km itakua cancer au la. me niko mkoani kwa yeyote anayejua gharama za kupima kwenye hiyo hospital pls naomba msaada ili nijue najipanga vipi maana hali yangu ya uchumi si...
nlienda dispensary then hospital moja hv inaitwa uyole hospital iko mbeya huku maarufu km sijabaje then nyingine inaitwa st gema iko dodoma kote sikupata jibu tatizo ninini
ndo nataka niende huko ocean road km nlivyoshauriwa ila sijui ghrama zake nijipange kuanzia shngap
thanx kwa ushaur ila nishaenda hospital karibia tatu ya kwanza alinambia mirija inayopitisha maziwa ina matatizo nkapewa dawa japo sijawah zaa wala kua na mimba nkaenda then nyingine better zaid ya ya kwanza wakanambia hakuna tatizo nkapewa dawa ya kutuliza maumiv ya tatu ndo nkachek na...
Mi msichana miaka 25 nasumbuliwa na maumivu kwenye titi la kulia linauma nikilibonyeza upande wa kulia na nikilalia nahic ugumu flani hiv wa chuchu tofauti na jingine laweza kua tatizo gani mana halitoi chochote na halijabadilika rangi ila linamaumivu na hayo maumivu nikibonyeza km yako...
Mi msichana miaka 25 nasumbuliwa na maumivu kwenye titi la kulia linauma nikilibonyeza upande wa kulia na nikilalia nahic ugumu flani hiv wa chuchu tofauti na jingine laweza kua tatizo gani mana halitoi chochote na halijabadilika rangi ila linamaumivu na hayo maumivu nikibonyeza km yako kwenye...
Usikate tamaa hauko peke yako me pia km wewe ni msichana miaka 25 na nimemaliza mwaka jana BBA bt mpk leo hata hapo pa kujishikiza tuu as intern sijawah pata na matokeo mazuri tuu upper second ila sijakata tamaa bado na naaply mpk basi naamini kua kuna siku nami ntapata kazi. nataka nikutie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.