Kwa taarifa zilizopo kuhusu waalimu ni kwamba mpaka jana majina yalikuwa tayari na kwenye taarifa ya habari ya asubuhi walitangaza,Yawezekana waandishi waliwahi kupublish au mtandao bado haujakaa vizuri........Mambo yapo tayari ila sijajua kwanini mpaka sasa mtandao hausomi.:baby::baby:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.