Recent content by FisadiMkuu

  1. FisadiMkuu

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Naibu Waziri, Wizara ya Elimu kuhusu mradi wa HEET

    Taifa ambalo hela zipo kwenye siasa na sio Kwa wabunifu na wasomi ujue taifa Hilo lishapotea njia! Wabunifu ndio wanatakiwa wawe na pesa zaidi na wasijione wako juu zaidi ya umma! Sasa sisi tunapigana madongo hapa kama hayo Kwa sababu wengi hawajui maana ya tafiti kwa maendeleo ya Taifa na pia...
  2. FisadiMkuu

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Naibu Waziri, Wizara ya Elimu kuhusu mradi wa HEET

    Tuna kazi kubwa sana
  3. FisadiMkuu

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Naibu Waziri, Wizara ya Elimu kuhusu mradi wa HEET

    Hizi ndio dharau! Na kesho na keshokutwa mnaendeleza mafisadi wengine wanaofanya kama wanavyofanyiwa wao muda huu
  4. FisadiMkuu

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Naibu Waziri, Wizara ya Elimu kuhusu mradi wa HEET

    Ujinga ujinga unasababisha na upuuzi kama huu na mawazo ya watanzania wapuuzi kama wewe
  5. FisadiMkuu

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Naibu Waziri, Wizara ya Elimu kuhusu mradi wa HEET

    Ni kweli, hata nilivyoweka hiyo username nilikuwa na maana yangu! usijali, asante!
  6. FisadiMkuu

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Naibu Waziri, Wizara ya Elimu kuhusu mradi wa HEET

    Mazoea hatari sana! wanaturudisha nyuma sana
  7. FisadiMkuu

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Naibu Waziri, Wizara ya Elimu kuhusu mradi wa HEET

    Hadi tarehe hii bado hawajaweka wazi sababu! tunasubri.
  8. FisadiMkuu

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Naibu Waziri, Wizara ya Elimu kuhusu mradi wa HEET

    Barua ya wazi kwa: Naibu Waziri, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Tanzania. Ndugu; YAH: KUKOSA IMANI NA WASIMAMIZI WA MRADI WA HEET (HIGHER EDUCATION FOR ECONOMIC TRANSFORMATION PROJECT) Tafadhali husisha kichwa cha barua hapo juu. Mimi ni mtumishi katika chuo kikuu kimoja hapa...
Back
Top Bottom