Recent content by firebabe

  1. F

    Naomba msaada wa namna ya kufungua tender kwenye mfumo wa taneps,

    Kazi iendelee. Umeshapata majibu au bado?
  2. F

    Nafasi ya kazi kuuza duka la dawa

    Duka liko Dar es salaam eneo la mbezi barabara ya goba. Ni ndani kidogo mtaani sio barabara ya lami. Kutoka lami ni mwendo wa km 1. Masharti ya kazi. 1. Ataishi nyumbani kwa boss wake kwa urahisi wa kufika eneo la kazi au dukani. 2. Awe na utaalamu wa dawa. 3. Mshahara sh 100,000 chakula na...
Back
Top Bottom