Leo nimeenda kuanza clinic nimepima vipimo vyotee na kuchoma chanjo lakini huwa naskia ukianza clinic unapewa dawa za kuongeza damu mie sijapewa kitu nimepangiwa tu tarehe ya kurudi is it right au wamesahau mwenye experience naomba tushare
Hello! doctor naomba kuuliza nmetokwa na mba ule mweupe kifuani kidogo na usoni ssa nkapewa dawa ya kupaka ya kentazol ule mba umeanza na kwenye layer ya juu ile ya uke nauliza kama hiyo cream naweza kupaka mpaka huko? maana ni sehemu ya mbele tu ile sio kwa ndani.
Mimi sibadlshi wanaume kwaajili ya kutafuta kufika kileleni he'll no! Ni kama ww relationship yako isipokuwa successful unaruhusiwa kuwa na mwngne hvyo ndyo ilivo....na nmetaja idadi ili muone kuwa tatzo litakua kwangu na sio kwa mwanaume
Mm ni mschana wa miaka 26 since nianze kudate sijawahi fika kileleni na ni zaidi ya 3 men...nmeshakutana nao wenye utaalamu tofauti tofauti lakin sijawahi fika najaribu kuweka mawazo yangu pale na kuwa na watu naowapenda lakin wapi sifiki...kuna this guy of mine mmoja alinambia katika wasichana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.